Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
basi hiyo K ilisimama kama kuleani mama wa nyumbani tu,kulea watoto hana kazi yeyote
kulea kutamu ha ha hasa kulea inakuaje inakuaje yanaingia maneno ya utam,achaga zako basi
asanteemmh!!haya,basi na mm nikuambie ww k yako tam sijui unaweka nn"unajiskiaje
Huwezi kuacha kushika cm ya mke wako au mme wako labda mmedanganyana tu hamjaoana cohabiting coupleMkuu usirudie tena kushika cm ya mama watoto wako,kama umeamua kuish nae na unampenda basi inatosha usichunguze mambo mengine ipo cku utakuja kufa kwa pressure,don't touch the dial mkuu.
K inajulikana jamana ni uchi wa mke yeye aongee naye akikiri Sawa asipokiri ajue mke wake ana mahusiano na ajue ataishije nae cha kwanza ajue yuko kwenye haari ya magonjwa ya kuambukizwa Hiv ,sti, homa ya ini na kadhalikaPole sana...
Inasikitisha sana...
Ila kabla hujafanya maamuzi, jaribu kutafita ukweli wa hiyo " k " ni nini haswa...
Cc: mahondaw
It will never to happen afadhali hiyo cm nimnyanganye tu basi akae bila cmAcha kabisa kupekenyua simu ya mkeo.
Akiwa hana simu ndo hatagongwa?It will never to happen afadhali hiyo cm nimnyanganye tu basi akae bila cm
Kaka hiyo cm ichukue ili kuvunja hiyo chain, namba yake tupa muanzishie line nyingine tena mtandao be serious usikubali wanaochekacheka humuni ujumbe wa message ukisema
"ivi iyo k umeweka nn mbona haishi utamu"?
nimenukuu,
Kuku ni kni ujumbe wa message ukisema
"ivi iyo k umeweka nn mbona haishi utamu"?
nimenukuu,
hayupo humuila hujanipa na wala sijaonja nimechukulia mfano tu,jamaa ako asije akamaindi
ni ujumbe wa message ukisema
"ivi iyo k umeweka nn mbona haishi utamu"?
nimenukuu,