Nimekuta hiki kitu kwenye sim ya mama watoto.nifanyeje?

Nimekuta hiki kitu kwenye sim ya mama watoto.nifanyeje?

Ishi maisha yako kwenye simu yangu mwenzio unatafuta nini mjinga wewe.
Kilichopo akilini mwake unakijua????
Wakomage kuangalia kupekua simu za watu...unakuta mtu anajijua roho mkononi bado unaangalia msg jmn km una roho ndogo usipekue simu za wenzi wenu mana mtakufa mdomo wazi kwa mshangao
 
Kwanini amuache? Avumilie tu kwani hujui ndoa ni uvumilivu.
Kuendelea naye ni kujitafutia maradhi yasiyo pona utaumia mpaka mwisho wa maisha yako au hata kukusababishia matatizo makubwa.Kutendwa ni jambo kubwa katika maisha ya mahusiano.
 
Wanaume mkicheat mnajiona mko sahihi.yaan haya umpate mwanaume kitandan na mwanamke atakuambia walikuwa wa nacheza. Cha msingi mweke chini ongea nae kwa upendo atajirekebisha. Ukisema umuache humu dunian na hasa kizazi hiki hakuna mkamilifu
 
soma tu mpe simu yake. japo nawewe uwe na heshima. simu ya mwezio yanini unasoma/ nani kakwambia anawasiliana na majini?
 
Kuendelea naye ni kujitafutia maradhi yasiyo pona utaumia mpaka mwisho wa maisha yako au hata kukusababishia matatizo makubwa.Kutendwa ni jambo kubwa katika maisha ya mahusiano.
Nimeacha kumtetea huyu jamaa baada ya kugundua na yeye ni malaya tu. Acha mkewe agawe papuchi kwa wengine. Watajua wenyewe!.
 
ni ujumbe wa message ukisema
"ivi iyo k umeweka nn mbona haishi utamu"?
nimenukuu,
Very simple mwonyeshe hiyo text mkeo piga number hiyo aweke loudspeaker kila kitu kitakuwa wazi hapa
 
Ulitakiwa uendeleze chatting na mtuma meseji ujilizishe.. Ungemchombeza ungepata jibu.. Umekua na haraka
 
Niliemtumia ujumbe ni mimi hapa.
Hapo kwenye K nilimaanisha Kachori.
 
Yani mkeo anagongwa nje wew unakuja kuuliza maana ya sentensi kazi kweli kweli. Hapo ni sawa umeshuhudia au umemfuma analiwa alafu unauliza watu eti hapo ndio wanafanya nini?
 
Nna mashaka na hill hpa, kama kweli umekuta msg hyo sasa hvi ungeshakuwa bachela sio kuuliza maswali
 
Back
Top Bottom