Nimekuta hiki kitu kwenye sim ya mama watoto.nifanyeje?

Nimekuta hiki kitu kwenye sim ya mama watoto.nifanyeje?

We ulifuata nini katika simu ya mkeo?kila siku huku watu wanakataza kushika simu za wenza wenu .ona sasa umepata ulichotafuta.anyway pole forgive n forget
 
Tena unasubra sana Mkuu mpaka umeanzisha thread kina fulani Wala pasingekucha mpaka maana ya hiyo K ingejulikana
 
una roho ngumu sana... hongera........ mpaka umepata nafasi ya kuja kuandika hapa........kwanza ulikuwa unatafuta nini kwenye simu ya mwenzio..... now umepata ulichokuwa wakitafuta..... amua mwenyewe.... mzigo ushaliwa sana.... endelea kuwa busy JF.....
 
ni ujumbe wa message ukisema
"ivi iyo k umeweka nn mbona haishi utamu"?
nimenukuu,


Wakubwa Nawasalimu... Jana nilijaribu kuchangia bila kufuatilia miendeno ya Huu Mlalamikaji ,.. Kiukweli Mke wa Huyu Mlalamikaji Amevumilia Mengi sana naomba niweke Machache tu hapa kama Kielelezo cha utafiti wangu kupitia huyu Mleta Mada na Mwisho nitaongea neno Moja.

  1. Nimempata Mrembo Bikra- naomba Ushauri.
  2. Hakuna Mwanamke anayependa kuonekana vibaya kwenye Jamii
  3. Mitego ya Mke wa Mchungaji
  4. Nilimwomba Tigo ili nijue msimamo wake.
  5. Huyu Mwanamke nimfanye nini
  6. Boss wangu anamktaka NMcumba wangu kaniahidi Dau Nono
  7. Nimetoka Safari Nyumbani nakuta familia nzima ya Mke imehamia bila Taarifa
  8. Mchepuko Kaenda kuda hela ya Matumizi kwa Mke wangu baada ya kumpotezea
  9. Mke wa Boss kanitega
  10. Kanidanganya yupo Kwenye Siku zake kumbe kaweka tomato source
  11. Ogopa Sana Gwiji la Mjini Kwenda kuoa Vijijini
  12. Mama Mkwe ananipiga Mizinga Balaa
  13. Leo ndio nimeambiwa na mke wangu Nakupenda Mume Wangu
  14. Mwaka mzima Mke ameninyima hata kwa Kondomu
  15. Haya ndiyo Majibu ya Mama Mkwe Baada ya kumfuata Mke wangu na Kumuomba Msamaha.
Kwa kupitia tu haya Machache mkuu nakuomba ni kwambie Kitu hiyo Meseji haijatoka kwa Mwanaume ila Imetumwa aidha kutoka ukweni na Simu kaiacha makusudi tu ili usome uone kuwa kama wewe Unamuona hana thamani kwako basi Kuna Mtu anamthamini sana Aidha,

Anataka uone Maumivu anayoyapata kwa vituko ambavyo umekuwa ukimfanyia.

Pia Kumbukeni Pia karibia wenzi wetu ni Members wa JF kwa hiyo tuyasemayo wanayaona Pia na hakuna kitu kibaya kama kuleta matatizo yako ya Nyumbani kuja kushauriwa huku..

Ngoja niendelee kufanya kautafiti kangu nitakuja baadae
 
Mr mgeni said:
ni ujumbe wa message ukisema
"ivi iyo k umeweka nn mbona haishi utamu"?
nimenukuu,

Wakubwa Nawasalimu... Jana nilijaribu kuchangia bila kufuatilia miendeno ya Huu Mlalamikaji ,.. Kiukweli Mke wa Huyu Mlalamikaji Amevumilia Mengi sana naomba niweke Machache tu hapa kama Kielelezo cha utafiti wangu kupitia huyu Mleta Mada na Mwisho nitaongea neno Moja.

  1. Nimempata Mrembo Bikra- naomba Ushauri.
  2. Hakuna Mwanamke anayependa kuonekana vibaya kwenye Jamii
  3. Mitego ya Mke wa Mchungaji
  4. Nilimwomba Tigo ili nijue msimamo wake.
  5. Huyu Mwanamke nimfanye nini
  6. Boss wangu anamktaka NMcumba wangu kaniahidi Dau Nono
  7. Nimetoka Safari Nyumbani nakuta familia nzima ya Mke imehamia bila Taarifa
  8. Mchepuko Kaenda kuda hela ya Matumizi kwa Mke wangu baada ya kumpotezea
  9. Mke wa Boss kanitega
  10. Kanidanganya yupo Kwenye Siku zake kumbe kaweka tomato source
  11. Ogopa Sana Gwiji la Mjini Kwenda kuoa Vijijini
  12. Mama Mkwe ananipiga Mizinga Balaa
  13. Leo ndio nimeambiwa na mke wangu Nakupenda Mume Wangu
  14. Mwaka mzima Mke ameninyima hata kwa Kondomu
  15. Haya ndiyo Majibu ya Mama Mkwe Baada ya kumfuata Mke wangu na Kumuomba Msamaha.
Kwa kupitia tu haya Machache mkuu nakuomba ni kwambie Kitu hiyo Meseji haijatoka kwa Mwanaume ila Imetumwa aidha kutoka ukweni na Simu kaiacha makusudi tu ili usome uone kuwa kama wewe Unamuona hana thamani kwako basi Kuna Mtu anamthamini sana Aidha,

Anataka uone Maumivu anayoyapata kwa vituko ambavyo umekuwa ukimfanyia.

Pia Kumbukeni Pia karibia wenzi wetu ni Members wa JF kwa hiyo tuyasemayo wanayaona Pia na hakuna kitu kibaya kama kuleta matatizo yako ya Nyumbani kuja kushauriwa huku..

Ngoja niendelee kufanya kautafiti kangu nitakuja baadae
 
Mr mgeni said:
ni ujumbe wa message ukisema
"ivi iyo k umeweka nn mbona haishi utamu"?
nimenukuu,

Wakubwa Nawasalimu... Jana nilijaribu kuchangia bila kufuatilia miendeno ya Huu Mlalamikaji ,.. Kiukweli Mke wa Huyu Mlalamikaji Amevumilia Mengi sana naomba niweke Machache tu hapa kama Kielelezo cha utafiti wangu kupitia huyu Mleta Mada na Mwisho nitaongea neno Moja.

  1. Nimempata Mrembo Bikra- naomba Ushauri.
  2. Hakuna Mwanamke anayependa kuonekana vibaya kwenye Jamii
  3. Mitego ya Mke wa Mchungaji
  4. Nilimwomba Tigo ili nijue msimamo wake.
  5. Huyu Mwanamke nimfanye nini
  6. Boss wangu anamktaka NMcumba wangu kaniahidi Dau Nono
  7. Nimetoka Safari Nyumbani nakuta familia nzima ya Mke imehamia bila Taarifa
  8. Mchepuko Kaenda kuda hela ya Matumizi kwa Mke wangu baada ya kumpotezea
  9. Mke wa Boss kanitega
  10. Kanidanganya yupo Kwenye Siku zake kumbe kaweka tomato source
  11. Ogopa Sana Gwiji la Mjini Kwenda kuoa Vijijini
  12. Mama Mkwe ananipiga Mizinga Balaa
  13. Leo ndio nimeambiwa na mke wangu Nakupenda Mume Wangu
  14. Mwaka mzima Mke ameninyima hata kwa Kondomu
  15. Haya ndiyo Majibu ya Mama Mkwe Baada ya kumfuata Mke wangu na Kumuomba Msamaha.
Kwa kupitia tu haya Machache mkuu nakuomba ni kwambie Kitu hiyo Meseji haijatoka kwa Mwanaume ila Imetumwa aidha kutoka ukweni na Simu kaiacha makusudi tu ili usome uone kuwa kama wewe Unamuona hana thamani kwako basi Kuna Mtu anamthamini sana Aidha,

Anataka uone Maumivu anayoyapata kwa vituko ambavyo umekuwa ukimfanyia.

Pia Kumbukeni Pia karibia wenzi wetu ni Members wa JF kwa hiyo tuyasemayo wanayaona Pia na hakuna kitu kibaya kama kuleta matatizo yako ya Nyumbani kuja kushauriwa huku..

Ngoja niendelee kufanya kautafiti kangu nitakuja baadae
Bora umefanya utafiti ndugu. Jamaa mwenyewe kicheche
 
Back
Top Bottom