Nimekuta hiki kitu kwenye sim ya mama watoto.nifanyeje?

Nimekuta hiki kitu kwenye sim ya mama watoto.nifanyeje?

Makinikia yameshaliwa mkuu chunguza umwage uchukue chuma kipya
 
K ni....Kinikia!!!
Acha kukagua simu ya mwanamke wewe,,,shauri Lako!!!
 
Pumba.fu sana weye,
Aliyekufundisha na kukutuma kuchungulia simu ya mkeo hakukupatia ushauri namna ya kuepusha kuweweseka baada ya kusomewa report ya makinikia !?

Report usome mwenyewe mapendekezo utake Kwa wengine!!

Pia SMS inaweza ikawa siyo ya mkeo labda mtu kakosea namba hujiulizi mambo mengine ila Kwa sababu tu Umeona neno "k" basi umepagawa.

Cha kufanya na wewe mwandikie kuwa hiyo K imetiwa o.o.d.m yako Alafu jitaje jina kwenye hilo jibu kwa aliyeituma.
 
Kaka, hakuna mwanamke asiyetoa mashine hata kama ulimtoa kizinda chake . Acha kufuatilia simu ya mkeo. Hiyo kitu haina makombo sawa na halua, kwani wewe hupigagi pembeni?.
 
hamna mkuu kuna jamaa kamuazima mkeo Kitabu,sa si unajua utamu wa hadithi za shigongo tena,
 
sim yangu haikuwa na credit nikamuomba ya kwake ili nimpigie mtu ile tu naanza kuingiza namba text naya ikaingia nikaona isiwe shida ngoja niisome aiseee...niligair hata kupiga sim
POLE NDUGU YANGU,kama nakuona vile ukiwa katika maumivu makali,isiwe shinda fanya uchunguzi wa kina kabla ya kuchukua hatua.
 
Ukiona Makinikia ujue dhahabu ilisha chimbwa cha msingi unda tume ya kutoa mapendekezo na kutekeleza adhabu ipi itastahili kwa wahusika
 
Back
Top Bottom