Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] Akili unazo ila unazijua mwenyeweMkuu hii tabia ya Kupekuwa simu ya Mke haijawahi kuiacha Ndoa salama..
Mkuu Mkeo wanambandua tena atakuwa amebanduliwa siku hiyohiyo uliyosoma meseji pia anabanduliwa kila kukicha kwa kuwa jamaa haishi kuimiss.
Muku kanywe Bapa utulie kwanza halafu tafuta kamchepuko kako kazuri na wewe kakatafune. Ukiuliza hutajibiwa jibu la kukuridhisha , ukikaa kimya unaweza kuua mtu.
Kikubwa tambua Mko wanaume zaidi ya Mmoja wanaukunguta hiyo K
Pole ndugu, ila usijali kizuri kula na nduguyosim yangu haikuwa na credit nikamuomba ya kwake ili nimpigie mtu ile tu naanza kuingiza namba text naya ikaingia nikaona isiwe shida ngoja niisome aiseee...niligair hata kupiga sim
Dalili za mvua ni mawingu, chukua tahadhari chiefni ujumbe wa message ukisema
"ivi iyo k umeweka nn mbona haishi utamu"?
nimenukuu,
Kumpeleka kwao itakuwa ni udhaifu mkubwa sana. Muhimu ni wafike muafaka, halafu jamaa atafutwe na mke kwa miadi ya kwenda kupewa tamu tena. Jamaa ampembue kinyelo chake mbele ya wife kama shahidi. Ndio itakuwa dawaKama una uhakika usichelewe wala kupoteza muda mpeleke kwao kamwache huko na asijue kama unaenda kumuacha.Full stop.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] jamani wwsali sana asimfire
Umeoa Malaya ndugu, mtimue upesi asikuletee UKIMWI na homa ya ini Bni ujumbe wa message ukisema
"ivi iyo k umeweka nn mbona haishi utamu"?
nimenukuu,
Msamehee Mkeo. Ni shetanj kapita. Pia jiangalie kama unamridhisha kwenye mapenzi ama huwa unamridhisha? Either way huyo sio wako tena. Get prepared to move on on your own.ni ujumbe wa message ukisema
"ivi iyo k umeweka nn mbona haishi utamu"?
nimenukuu,
Kwanini amuache? Avumilie tu kwani hujui ndoa ni uvumilivu.Kama una uhakika usichelewe wala kupoteza muda mpeleke kwao kamwache huko na asijue kama unaenda kumuacha.Full stop.
K ina maanisha kachumbaliHIYO K ITAKUWA INAMAANISHA KACHORI MKUU