ILAN RAMON
JF-Expert Member
- Sep 10, 2013
- 9,698
- 4,488
Who knows mr Kalashnikov ?shukuru Mungu hawajatatua marinda, anaza kukaba mpaka kivuli.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Who knows mr Kalashnikov ?shukuru Mungu hawajatatua marinda, anaza kukaba mpaka kivuli.
HhahaaahahWameshamchana rinda mkeo
Sasa ushaidi gani tena.. Kama mnawatoto mpotezee ..siumeshajua nimalaya huyo usimgegede tena.. Naukisema ufatilie utaingia kwenye matatizo bure uache kufanya mambo... Kama unamchepuko hamishia mapenzi kwamchepuko acha yeye aipeleke huko.roho inauma balaa natafuta tu ushahidi wa kutosha alafu nimuoneshe habari
Duh watu mnamoyo yani papuchi imetoka kugongwa nayeye agonge tena... Mm huwa nakinyaa sana yani suwezi hata kudindisha .Ushahidi zaidi wa hiyo Ujumbe wa Utamu wa K.. Aliyeturoga ni alishajifiaga. Wewe Chakufanya mpige show ya Kimasai leo
Mitego yakizamani hiyo.Ichukue hiyo namba mtafute mwanamke yeyote apige hiyo namba ,yani ajifanye amekosea namba alafu ajifanye anamshobokea huyo jamaa amuulize anaishi wapi then uandae mtego wa kumnasa mwizi wako,unaweza kuta ni jirani yako hapo nyumba ya pili, ukim'bamba mwizi wako nitafute tumtatue rinda.kama huwezi vumilia kupigiwa.
Amuache kwa kuwa ana mke asiye na akili. Atafute wengine kwani wanawake wameisha.Kwanini amuache? Avumilie tu kwani hujui ndoa ni uvumilivu.
ni ujumbe wa message ukisema
"ivi iyo k umeweka nn mbona haishi utamu"?
nimenukuu,
Jiangalie kwanza wewe je umeshawahi kumcheat hata siku moja? kama ndio basi msamehe mkeo, unaweza kuonyesha hasira zako zote lkn mwisho wa siku msamehe.
Usisikilize ushauri wa watu fuata moyo wako.
[emoji3][emoji3][emoji3] hahahaha hii nukuu balaani ujumbe wa message ukisema
"ivi iyo k umeweka nn mbona haishi utamu"?
nimenukuu,
Nafikiri unapaswa kumpongeza mkeo kwa kuwa na mzigo mtamu mkuuni ujumbe wa message ukisema
"ivi iyo k umeweka nn mbona haishi utamu"?
nimenukuu,
Acha kumshauri ujinga watu wamenda jela kwamambo hayo.Kumpeleka kwao itakuwa ni udhaifu mkubwa sana. Muhimu ni wafike muafaka, halafu jamaa atafutwe na mke kwa miadi ya kwenda kupewa tamu tena. Jamaa ampembue kinyelo chake mbele ya wife kama shahidi. Ndio itakuwa dawa
lakini bado inanasa..........Mitego yakizamani hiyo.