Nimekuta hiki kitu kwenye sim ya mama watoto.nifanyeje?

Nimekuta hiki kitu kwenye sim ya mama watoto.nifanyeje?

Mkuu wahuni wanakubondea nakushaur kunywa congo dust alaf mpige huyo mkeo goal8 zq ukweeli piga mara3 kwa wiki
 
roho inauma balaa natafuta tu ushahidi wa kutosha alafu nimuoneshe habari
Sasa ushaidi gani tena.. Kama mnawatoto mpotezee ..siumeshajua nimalaya huyo usimgegede tena.. Naukisema ufatilie utaingia kwenye matatizo bure uache kufanya mambo... Kama unamchepuko hamishia mapenzi kwamchepuko acha yeye aipeleke huko.
 
ndo ukubwa huo.vumilia..wyf kashachanwa mavu....z
 
Ichukue hiyo namba mtafute mwanamke yeyote apige hiyo namba ,yani ajifanye amekosea namba alafu ajifanye anamshobokea huyo jamaa amuulize anaishi wapi then uandae mtego wa kumnasa mwizi wako,unaweza kuta ni jirani yako hapo nyumba ya pili, ukim'bamba mwizi wako nitafute tumtatue rinda.kama huwezi vumilia kupigiwa.
Mitego yakizamani hiyo.
 
Pole mkuu, washachimba na washapeleka makinikia nje.
 
Jiangalie kwanza wewe je umeshawahi kumcheat hata siku moja? kama ndio basi msamehe mkeo, unaweza kuonyesha hasira zako zote lkn mwisho wa siku msamehe.
Usisikilize ushauri wa watu fuata moyo wako.
 
ni ujumbe wa message ukisema
"ivi iyo k umeweka nn mbona haishi utamu"?
nimenukuu,


Mpaka Muda huu huwezi kumuamini tena hata akujibu kitu gani yaani hata akutanie kitu Gani Huwezi Mwamini Tena Mbaya zaidi kama mna watoto unaweza Wauwa.. Kikubwa mkuu twambie wewe kabila Gani na Upo Mkoa gani tukusaidie siku hizi hatupendi watu kuua.
 
Jiangalie kwanza wewe je umeshawahi kumcheat hata siku moja? kama ndio basi msamehe mkeo, unaweza kuonyesha hasira zako zote lkn mwisho wa siku msamehe.
Usisikilize ushauri wa watu fuata moyo wako.


Wewe Dada ulishawahi kuta Meseji kwa sijui hawala yako au Mumeo ikisema Aisee Mboo Yako Tamu ukamuacha Salama .. Hawa wadada wa siku hiz sijui ni uzao wa Bloiler
 
Kumpeleka kwao itakuwa ni udhaifu mkubwa sana. Muhimu ni wafike muafaka, halafu jamaa atafutwe na mke kwa miadi ya kwenda kupewa tamu tena. Jamaa ampembue kinyelo chake mbele ya wife kama shahidi. Ndio itakuwa dawa
Acha kumshauri ujinga watu wamenda jela kwamambo hayo.
 
Back
Top Bottom