Nimekuta hiki kitu kwenye sim ya mama watoto.nifanyeje?

Nimekuta hiki kitu kwenye sim ya mama watoto.nifanyeje?

ngoja nimtafute Roma Mkatoliki naamin ana majibu sahihi
 
Mkuu umenifikiria Vibaya Tu Nilikuwa Namaanisha Hiyo Konyagi umeweka Nini Mbona Haishi Utamu
 
Mhhh mnajuaje hiyo sms imetumwa kimakosa. Fanya uchunguzi wa kutosha ........kabla ya kuchukua hatua .....
 
Unadelete hiyo message tu. Kwani vipi?!!!
 
Ww unachukua maon endapo kama itatokea ili uanzie wap lakin na ima hujakuta hicho kitu chezea mke ww utakumbuka kuja kuomba ushauli humu kabla hujafanya kitu kweli mhuuu!!!! Hapo ingekuwa kipigo kwanza baada ya hpo ndo uombe ushauli
 
hahaaa.. Kwan mkeo anafanya kaz gani ukute ni mama ntilie watoto wa kihuni wamenunua vitumbua vyake wanajaribu kumtania kwa kumtia nyege huku tunaita kamshange
 
Wewe Dada ulishawahi kuta Meseji kwa sijui hawala yako au Mumeo ikisema Aisee **** Yako Tamu ukamuacha Salama .. Hawa wadada wa siku hiz sijui ni uzao wa Bloiler
Tunakuta sana tu. Na unajua kabisa mume kaenda au katoka kugonga lkn mwisho wa siku tunasamehe. Kwani cha ajabu nini hapo? Ataacha wangapi? Aangalie mazuri mengine ya mke wake. Kama ana mazuri mengi na bado anampenda mke wake kwanini amuache? Labda kama ni tabia yake isiyorekebishika.
.
.
Mtoa mada unashauriwa umuache mkeo na wewe ukiwasikiliza hawa majamaa utabaki mgane na kama mna watoto mtawatesa bure.
.
.
Kama unampenda mkeo usimuache, mrekebishe na wewe ujitathmini ni kwanini mkeo kachepuka.
Ila kama humpendi muache tu. Fuata moyo wako,fikiria familia yako na watoto wako. Wengine wapo hapa kuona ndoa yako ikiangamia.
.
.
Mke kafanya kosa, lishughulikie mwisho wa siku umsamehe mpe nafasi uone km amejirekebisha. Na wewe ujirekebishe maana mpk kachepuka inawezekana sababu ni wewe!
We muache lakini ujue atapata kidume miongoni mwa hawa wanaokushauri umuache. Na kama unampenda utaumia sana. USIMUACHE MKE WAKO KAMA BADO UNAMPENDA.
 
pole mkuu inauma sana kukuta k ya mkeo inasifiwa kaa na mkeo chini muangalie wapi mnapokosea endelea kukaa kimya kila siku utakua unachapiwa na k ya mkeo kuzidi kusifiwa kwa mautamu
Ikisifiwa s ndo safi au?
 
Back
Top Bottom