Au mke wako anauza kahawa na mteja anaisifia hiyo kahawa kuwa haiishi utamu so akatumia K kama kifupi cha kahawa?Kila kitu K ... Hata Kinikia nayo K
DUuuuuuKwani mkuu we bado unauona huo utamu kwenye hiyo k' iliyotajwa?
Hahahah hebu mwenye ku post hii thredi akujibu manake anamjua mkewe vizuriAu mke wako anauza kahawa na mteja anaisifia hiyo kahawa kuwa haiishi utamu so akatumia K kama kifupi cha kahawa?
Hahahahhaaha, unajua hizi sms watu wanafupisha maneno kuokoa muda pengine. Natamani anijibu asije akamuhukumu kimakosaHahahah hebu mwenye ku post hii thredi akujibu manake anamjua mkewe vizuri
Smelter ya aina gani? RAV 4 au Vitz?πππMke wako ameanza kupeleka mchanga nje ili akachenjue thahabu. Fanya mpango ununue Smelter ili mambo yaishe.
Umeoa? Inawezekana haujui maumivu ya mkeAcha kumshauri ujinga watu wamenda jela kwamambo hayo.