ni ujumbe wa message ukisema
"ivi iyo k umeweka nn mbona haishi utamu"?
nimenukuu,
POLE NDUGU YANGU,kama nakuona vile ukiwa katika maumivu makali,isiwe shinda fanya uchunguzi wa kina kabla ya kuchukua hatua.sim yangu haikuwa na credit nikamuomba ya kwake ili nimpigie mtu ile tu naanza kuingiza namba text naya ikaingia nikaona isiwe shida ngoja niisome aiseee...niligair hata kupiga sim
mweeeeeeeeehsali sana asimfire
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Kama anatengeneza "K"alimati mwezi huu msamehe bure
subiri report ya 3 ya makinikia-hii itatolewa na Prof.Lipumba
Muosha uoshwa!Nimepata mrembo bikra, Nipeni ushauri
Endelea nayeye aendelee, ndio maisha yenu mliyojichagulia mkutane kitandani kwenu mjuane wenyewe. Acha hasira