Nimekuta mawe mawili kwenye kimkoba cha mke wangu

Nimekuta mawe mawili kwenye kimkoba cha mke wangu

Kama Kichwa Cha habari kinavyojieleza hapo,,,wakati napanga vitu vitu ndani,,, kwenye mkoba wa Mke wangu nimekuta vipande viwili ya mawe kwenye mkoba wake,,,

MWENYE UELEWA,,NAOMBA ANISAIDIE HIIView attachment 3148727
Hayo mawe yafiche kisha Tafuta jongoo wawili watie ndani ya huo mkoba kisha nyamaza kimya...baada ya muda mwenyewe atakuambia kazi yake.
 
Hizo ni kende zako. Ukijifanya mjanja anayabinya akili inakukaa sawa.

She has got you by the balls😂
 
Back
Top Bottom