TypingError
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 293
- 313
Kishauziwa bomu huyo.Mawe yanayopatikana kwenye nyongo za wanyama hasa nyati dume. Yana bei sana. Nasema "huenda " sina uhakika.
Asikudanganye mtu, mara zote mwanaume ana option B.. ๐๐Moja ni wewe .akilitupa umelala yoooo
Hili nalo neno maana Hawa viumbe kwa kutuloga ndio wenyeweUsije kuta vinawakilisha kende zako...!!! Umetegwa mzee baba.. ๐๐๐
hicho kikubwa huwa kinasugua kin.emb** najua ndio kazi yake mahsusiKama Kichwa cha habari kinavyojieleza hapo, wakati napanga vitu vitu ndani,kwenye mkoba wa Mke wangu nimekuta vipande viwili ya mawe kwenye mkoba wake.
MWENYE UELEWA, NAOMBA ANISAIDIE HII
View attachment 3148727
Mimi ndani ya pichu nimeweka niweka ant balistck missile, , kwa maana ni uchepukaji salama.. ๐คฃ๐คฃ๐คฃHili nalo neno maana Hawa viumbe kwa kutuloga ndio wenyewe
hayo mawe huenda ni kwa ajili ya ushirikina au kwa ajili ya uremboKama Kichwa cha habari kinavyojieleza hapo, wakati napanga vitu vitu ndani,kwenye mkoba wa Mke wangu nimekuta vipande viwili ya mawe kwenye mkoba wake.
MWENYE UELEWA, NAOMBA ANISAIDIE HII
View attachment 3148727
๐๐๐๐คฃkakuta mawe akati kuna zaidi ya ayo shida mna roho mbaya babe acha mlogwesweery babe njoo useme kitu hapo ๐๐
Aaah mm nina roho mbaya gani mpenzii๐๐๐๐๐๐คฃkakuta mawe akati kuna zaidi ya ayo shida mna roho mbaya babe acha mlogwe
Nooo wanaume in general ๐๐๐คฃAaah mm nina roho mbaya gani mpenzii๐๐
๐ sijui kwanini namimi nimewaza ni mbupu hizoHizo ni korodani zako, siku ukikosea anaziponda na mawe mpaka zinapasuka Tuus, basi na wewe zako huko Twaaas.