Crystal field theory
JF-Expert Member
- Sep 16, 2014
- 940
- 401
Ahsante sanaPole mkuu
Nimekuta charting zake simu yake aliweka pasword akajisahau kuitoaAiseeh pole uligunduaje, na ni kipi,kinakupa uhakika kwamba mke wako anakusaliti??
🤣🤣🤣Mpige makofi machache na mkwara juu alafu maisha yaendelee
Charting zake kwenye sms
Daah aiseePole Mkuu.
Vumilia huo ndio Uanaume, usikubali kila jambo likusononeshe, jikaze baba wewe ni baba wa familia. Komaaa uyashinde majaribu
Cc Jimena
SawaPole Sana
Kaa kimya mfatilie uone inakwendaje.. haraka haraka atabadili gia. Kwa sasa usimguse.. mpe visingizio akitaka gemu.
Kwa maelezo ya mleta mada ni kwamba hawezi kumuacha huyo msaliti, sasa tumshaurije?🤣🤣🤣
Mmmh ndio unafikiri ataacha..
Naunga mkono hojaMwaka tunauanza na malalamiko mengi ya ndoa
Piga chini...usaliti ukianza na dharau zinafuata