Nimekuta mke wangu ana maongezi ya kimapenzi na mwanaume kwenye simu yake

Nimekuta mke wangu ana maongezi ya kimapenzi na mwanaume kwenye simu yake

Mkuu, pole sana.
Usifanye uamuzi wowote kuanzia hivi sasa juu ya hatma yenu, kaa chini utafakari kisha muweke chini mkeo mzungumze.

Muulize kwa utaratibu bila hasira ni nini kilichopelekea yeye kufanya hivyo?
Akikujibu utapima mwenyewe, akionesha kujutia na kukuhitaji msamehe na kumkanya, otherwise amua mwenyewe.
 
Haya mambo ni magumu sana.

Sisi tulio kwenye ndoa MUNGU atusaidie, kuna mitihani ni pasua kichwa na inahitaji busara, maarifa na hekima kuitatua.

Sina neno ila Mungu mkuu akutie ujasiri wa kuliendea hilo.
 
Unatuangusha mkuu. Huu ulitakiwa kuwa uzi wa kutupa taarifa ya kumuacha tu.

Hakuna kuvumilia mwanamke mzinzi. Piga chini fasta ubaki kulea mwanao tu.
Unatuang
Hii kauli rahisi sana kusema mkiwa mnaishi kisela


Ikishafikia hatua mna watoto 2+ plus, wazazi wa pande mbili washakuwa ndugu

Umezoea jioni watoto na wife kukupokea then haraka haraka uje usaliti then haraka haraka break up inaumiza hakuna mfano

Unawaza watoto wanaenda shule na bashasha kwasababu ya uwepo wa good parenting

Askimbie mtu inauma kuona watoto hawana furaha

Tulio kwenye ndoa tunajua haya

Miaka ya uharibifu kwenye ndoa ni 20s to 55

Nakuombea kijana Mungu akutie nguvu

Sikwambii umwache ila mwanamke mwaminifu anajulikana soma meseji neno kwa neno ujue km ameshawishiwa au yeye ndio ameamua kutoka kwenye mahusiano yenu
 
Hii kauli rahisi sana kusema mkiwa mnaishi kisela


Ikishafikia hatua mna watoto 2+ plus, wazazi wa pande mbili washakuwa ndugu

Umezoea jioni watoto na wife kukupokea then haraka haraka uje usaliti then haraka haraka break up inaumiza hakuna mfano

Unawaza watoto wanaenda shule na bashasha kwasababu ya uwepo wa good parenting

Askimbie mtu inauma kuona watoto hawana furaha

Tulio kwenye ndoa tunajua haya

Miaka ya uharibifu kwenye ndoa ni 20s to 55

Nakuombea kijana Mungu akutie nguvu

Sikwambii umwache ila mwanamke mwaminifu anajulikana soma meseji neno kwa neno ujue km ameshawishiwa au yeye ndio ameamua kutoka kwako
Mkuu hii ni human behaviour, hatuwezi kufanana. Ila kwa upande wangu uzinzi kwenye ndoa hauna excuse, bila kujali chochote.

Nasema hivyo kwa sababu inakuwa mwisho wa kukupenda na kukujali, itabaki mke jina tu. Sijui tutalalaje wote, sijui nitaanzaje kula k yake.

Kwa hiyo mke wangu ajitahidi sana nisimdake wala kuonyesha dalili za kuchepuka. Na mimi kwa sababu najua udhaifu wangu nitajitahidi nisimfukunyue.

Nina manzi hapa nilishamuweka kwenye plan zangu, lakini siku niliponusa anachepuka, hakuamini macho yake. Nilimlia mikausho, akadhani natania kwa jinsi nilivyokuwa nampa attention aliamini siwezi kupindua. Leo miezi imekata, NO call No text
 
Back
Top Bottom