Cc dronedrakeKATAA NDOA
Pole sana.Wakuu habari.
Imeniuma saana, na tayari wanalove desire, mbaya zaidi tunamtoto ni mgonjwa anahitaji uangalizi wa mama. Naombeni ushauri, napitia hali ngumu saaana. Nifanyaje
Mbarikiwe
Alafu hizi raha uku dunia amuachie nani 😃😃Mkuu jiue commit suicide hutaumia tena milele. Believe me.
Hii kauli rahisi sana kusema mkiwa mnaishi kiselaUnatuangusha mkuu. Huu ulitakiwa kuwa uzi wa kutupa taarifa ya kumuacha tu.
Hakuna kuvumilia mwanamke mzinzi. Piga chini fasta ubaki kulea mwanao tu.
Unatuang
Mkuu hii ni human behaviour, hatuwezi kufanana. Ila kwa upande wangu uzinzi kwenye ndoa hauna excuse, bila kujali chochote.Hii kauli rahisi sana kusema mkiwa mnaishi kisela
Ikishafikia hatua mna watoto 2+ plus, wazazi wa pande mbili washakuwa ndugu
Umezoea jioni watoto na wife kukupokea then haraka haraka uje usaliti then haraka haraka break up inaumiza hakuna mfano
Unawaza watoto wanaenda shule na bashasha kwasababu ya uwepo wa good parenting
Askimbie mtu inauma kuona watoto hawana furaha
Tulio kwenye ndoa tunajua haya
Miaka ya uharibifu kwenye ndoa ni 20s to 55
Nakuombea kijana Mungu akutie nguvu
Sikwambii umwache ila mwanamke mwaminifu anajulikana soma meseji neno kwa neno ujue km ameshawishiwa au yeye ndio ameamua kutoka kwako
Kwani hapa anajaribiwa yeye?Pole Mkuu.
Vumilia huo ndio Uanaume, usikubali kila jambo likusononeshe, jikaze baba wewe ni baba wa familia. Komaaa uyashinde majaribu