Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
-
- #101
tu najikazaMzoefuuu saba huyooo anajua huwezi kuiona atatembea nayo hata job atanawia...huyo mzoefuuuu
mh natumia shower Garymbona hizo sabuni zimejaa kibao mitaani nenda buguruni,kariakoo zimemwagwa kibao chini au kwenye meza wanaoza sabuni,losheni,dawa za miswaki hao wamachinga wanazo sana sema ww ushazoea kutumia jamaa hizo ni luxury soap full kunukia zipo aina nyingi sana ni kuchagua tu
a chunga mzigo wakAcha kukariri
anauza mayaiLabda ni mtu wa marketing
Ukiona manyoya...Tujibiiii
Hii sabuni mara nyingi naiona gest sasa najiuliza maswali kwenye pochi yake imefikaje na madukani ni ngumu kupatika yeye atakuwa kaipata wapi?
View attachment 3088850
Pole sanaa ndio ukubwa huo.....ukiweza tafuta cha pembeni na ww maumivu yataisha maana utakufa bure kama ndio tabia yake huwezi badilishakaka naumia bas
tu najikaza
Pole sanaa ndio ukubwa huo.....ukiweza tafuta cha pembeni na ww maumivu yataisha maana utakufa bure kama ndio tabia yake huwezi badilisha
Kama hana kazi , kazi unayohana kazi
ππππkuna zile zipo kama mkia wa paka πππ unaweza fikiria mtu kaota mkia kumbe walahaaa
nishamtimua leo.sijala. kbsa
Zipo kibao mtaani nzuri sababu ni ndogo hivyo unawezakubeba ukanawa mikono sehemu yoyotesijui ila sio maduka ya mangi hay
Sijakuelewa mkuuwewe tena mz
ungu wa kkooo