Nimekuta sabuni hii kwenye pochi ya Mwenza wangu

Nimekuta sabuni hii kwenye pochi ya Mwenza wangu

mbona hizo sabuni zimejaa kibao mitaani nenda buguruni,kariakoo zimemwagwa kibao chini au kwenye meza wanaoza sabuni,losheni,dawa za miswaki hao wamachinga wanazo sana sema ww ushazoea kutumia jamaa hizo ni luxury soap full kunukia zipo aina nyingi sana ni kuchagua tu
mh natumia shower Gary
 
nishamtimua leo.sijala. kbsa
bf3c3ec09b764cf9aa5e05697248a069.jpg
 
Back
Top Bottom