Marcy
JF-Expert Member
- Aug 12, 2013
- 2,430
- 5,910
Eti mama yako uwiiii🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣nimekukumbuka sana mama angu wa nguvu uwe unanisalimia.bas
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eti mama yako uwiiii🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣nimekukumbuka sana mama angu wa nguvu uwe unanisalimia.bas
ahahha ww si uliniambiga unanizaa ukiwa mguu sawa 😀😀Eti mama yako uwiiii🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣ahahha ww si uliniambiga unanizaa ukiwa mguu sawa 😀😀
tia neno🤣🤣🤣🤣
kicheko tena🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Tujibiiii
Hii sabuni mara nyingi naiona gest sasa najiuliza maswali kwenye pochi yake imefikaje na madukani ni ngumu kupatika yeye atakuwa kaipata wapi?
Lala ukuekicheko tena
nilikuwa natengeneza.zipKwenye pochi ya mwenza wako ulikuwa unatafuta nini..hujui sharti namba moja kuhusiana na pochi za wanawake...
sijashiba njaa ya umaa usingizi haukujiLala ukue
nimeacha mkuu.Kuna siku utakutana na dildo na taulo za kike zilizotumika acha kusachisachi mikoba ya watu
Alienda kuomba Maji guest house🤣Tujibiiii
Hii sabuni mara nyingi naiona gest sasa najiuliza maswali kwenye pochi yake imefikaje na madukani ni ngumu kupatika yeye atakuwa kaipata wapi?
View attachment 3088850
hapana namtafuta alie mpa majiAlienda kuomba Maji guest house🤣
nishamtimua leo.sijala. kbsaNidhahiri kwamba hanauzoefu wa kuingia Guest, ila sisi wazoefu tunajua izo mambo.
kiufupi naweza sema ameandika jina uongo,kabila la uongo, anakotoka na namb ya simu fake, kwenye kitabu Cha Guest flan, Na kapewa alichokifata. Ila usipanik kiongozi mambo ya kawaidaa tu hayo ilimradi anakuheshimu pia Muulize swali Hii sabuni umeipata wapi? Jibubu lolote ukipewa likubali, atajishtukia na ataacha tabia ya kubeba sabuni ila kuacha kuudhuria kindi sio rahisi, Kutoka nje ya ndoa nikama Pepo likikuingia sio rahisi Kutoka.
Yaelekea huwa humwekei pesa, ndio sababu anabana matumizi kwa kununua hizo sabuni ndogo.nilikuwa nataka kumuwekea pesa asa ndio nimekutana na janga ilo
Mkuu nimekuogopa sanaaa, ulivyotaja Plug nikasafiri kiakilii mpaka kuleeee Plug inakochomekwa kwenye kitundu kidogo cha injini ya pikipiki 😄😄hahah! haya ma keyboard yanaandika andika tu
nitarekebisha iloYaelekea huwa humwekei pesa, ndio sababu anabana matumizi kwa kununua hizo sabuni ndogo.
kwani dhambi kuwa nayo jmnTujibiiii
Hii sabuni mara nyingi naiona gest sasa najiuliza maswali kwenye pochi yake imefikaje na madukani ni ngumu kupatika yeye atakuwa kaipata wapi?
View attachment 3088850