Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,564
- 34,341
Ili uje useme amekuibia? Ona sasa yaliyokukuta.nilitaka kumuweka bila ya yeye kujua bhna
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ili uje useme amekuibia? Ona sasa yaliyokukuta.nilitaka kumuweka bila ya yeye kujua bhna
Wewe hizo guest houses zote, unaenda kufanya nini bila yeye?
Na unafikiri kabeba sabuni kama kukumbusha nini? 😂😂😂
Muulize kuwa mwanaume, ajue wewe mpekuzi.
Labda ulitaka kuokoa kitu umezoea kuchukua.. Sema akujue tabia zako za gesti unazoenda sana.
Rubbish
mnawazaga nini ase 🤣🤣🤣Ili uje useme amekuibia? Ona sasa yaliyokukuta.
Anal plugs ndio ikoje?Swali la kipuuz hilo husiano ni gumu sana yani Sabuni tu unauliza je ungemkuta na Anal plugs?
Nenda kapime magonjwa yote kisha achana nae utakufa na Pressure wewe unaonekana huyawezi.
Hili nalo neno....We ni boyfriend mwizi, ulikua unatafuta nini kwenye pochi sio yako??
Nasubiria mrejeshoduh namgojea arudi nimemuweka mezan kabisa
Sasa wewe mara nyingi huiona gesti. Huwa unaenda kufanya nini ?Tujibiiii
Hii sabuni mara nyingi naiona gest sasa najiuliza maswali kwenye pochi yake imefikaje na madukani ni ngumu kupatika yeye atakuwa kaipata wapi?
View attachment 3088850
nishatimuaNasubiria mrejesho
promotion ipItakua kapewa njiani na watu wa promotion!!!
naenda kukagua mazingiraSasa wewe mara nyingi huiona gesti. Huwa unaenda kufanya nini ?
Nipoahahha upogo ase nimekukumbuka sana usiwe kimya ivyo
Inawezekana kweliHajakikuta kwenye pochi
Sema ukweli hapo upo gesti
Dogo msanii sana anatuchota akiliInawezekana kweli
nimekukumbuka sana mama angu wa nguvu uwe unanisalimia.basNipo
ahahhahapanDogo msanii sana anatuchota akili
🤣🤣Dogo msanii sana anatuchota akili
sawa mchawJob you have