Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
- #21
uchumi upi uhoWewe umeijuaje sema shukuru mwenzako mchumi sana mtafika mbali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
uchumi upi uhoWewe umeijuaje sema shukuru mwenzako mchumi sana mtafika mbali
Pesa zinawekwa ndani ya bra kwenye manyonyo.....nilikuwa nataka kumuwekea pesa asa ndio nimekutana na janga ilo
nilitaka kumuweka bila ya yeye kujua bhnaPesa zinawekwa ndani ya bra kwenye manyonyo.....
ahahha upogo ase nimekukumbuka sana usiwe kimya ivyoHajakikuta kwenye pochi
Sema ukweli hapo upo gesti
Ni sabuni kama nyingine tu
Acha wizi, haya sasa iba kisabuni cha Eva 😹😹😹nilitaka kumuweka bila ya yeye kujua bhna
😄😄😄 watu mnajua mambo nyeti sanaaanilifikiri umemkuta na... plug, au vibrator kumbe sabuni tu
Kaona akicha huko gesti ataingia hasara fatia unawaza ukakuta kaja na taulo piauchumi upi uho
ahahah unafikir anayo pesa bas ya kuibiwa 😁😁Acha wizi, haya sasa iba kisabuni cha Eva 😹😹😹
ahaah mpaka shetani anajifunzq kitu kimpya😄😄😄 watu mnajua mambo nyeti sanaaa
Ukiona manyoya jua kaishaliwa!tujibiiii
hii sabuni mara nyingi naiona gest sasa najiuliza maswali kwenye pochi yake imefikaje na madukani ni ngumu kupatika yeye atakuwa kaipata wapi?
Kaona akicha huko gesti ataingia hasara fatia unawaza ukakuta kaja na taulo pia
hatimua ata sijala leoUkiona manyoya jua kaishaliwa!
hahah! haya ma keyboard yanaandika andika tu😄😄😄 watu mnajua mambo nyeti sanaaa
iyawez kweliSwali la kipuuz hilo husiano ni gumu sana yani Sabuni tu unauliza je ungemkuta na Anal plugs?
Nenda kapime magonjwa yote kisha achana nae utakufa na Pressure wewe unaonekana huyawezi.
mm ni mburundiNimukuta ndo nini...?
Hahahaha ok ok okmh
mm ni mburundi