Nimekuta SMS kibao za my guy anachat na other girls tena za kimapenzi, nikachoma moto nguo zake

Nimekuta SMS kibao za my guy anachat na other girls tena za kimapenzi, nikachoma moto nguo zake

Nimekuta sms kibao za my guy anachat na other girls tena za kimapenzi, nimepata hasira sanaa kupelekea kuwapigia simu hao wanawake na kuwatukana na mwishoe nikaamua kuchoma moto nguo za my guy tena zile anazozipenda sana.

Right now am feeling guilty and satisfied at the same time na Sijui akirudi ata react vipi ? I don’t know what to do or how to act .
wewe una mapepo kisirani utakufa
 
Nimekuta sms kibao za my guy anachat na other girls tena za kimapenzi, nimepata hasira sanaa kupelekea kuwapigia simu hao wanawake na kuwatukana na mwishoe nikaamua kuchoma moto nguo za my guy tena zile anazozipenda sana.

Right now am feeling guilty and satisfied at the same time na Sijui akirudi ata react vipi ? I don’t know what to do or how to act .
Jinsia yako kwanza.
My guy is questionable.
 
1. Ur username doesn’t deserve you.. ibadili ASAP.

Ungekuwa strong enough ungesubiri my guy arudi, uchome hizo nguo zake. Uone namna ungezabuliwa 😂😂😂
Eti fearless na ametia moto nguo zake in his absence. She is a coward.
 
1. Ur username doesn’t deserve you.. ibadili ASAP.

Ungekuwa strong enough ungesubiri my guy arudi, uchome hizo nguo zake. Uone namna ungezabuliwa 😂😂😂
Whatever happens sisupport mtu kupigwa.
 
Wanawake wote wanaotafuta wanawake wenzao kisa wameona wako na bwana zao ni hamnazo.

Mimi siwezi hiyo biashara aisee
Natakiwa nideal na mwanaume.. ukute mwanaume alishaniacha 😃😃 nipate aibu ya kujitia kimbelembele kugombana na watu. Lol
Mariam akamtafuta mama mtoto wangu banah😀
Dah.....akafoka, akakuta mwenzake matured akamtuliza. Baadae anataka reconciliation naye.....dada nakuomba niachie Frogy nampenda sana. Ameshabadili sana wanaume now anataka kufa na mimi. Hawezi kuniacha.
Kuona yote yamegonga mwamba....akaanza kunipondea.
Eti alikua ananichuna tu, mara kamtu kenyewe hivi, mara vile. Manywele kifuani kama sokwe......khaaa hivi ni vitu vya kumsema mwanaume?😀
Anajisahau yeye ana kikomwe cha kichaga na hairline iliyo utosini na mguu wa kirangi..........
Mwisho kabisa akataka umoja wanikomeshe. My babe mama yuko kimya siku zote hasemi kitu. Baadae akaniambia yooooooote yanayoendelea huku analia........Nimesamehewa lakini. Mapenzi ya kweli yapo.
 
I don't know how to tell you this in the kindest way possible. As long as he's paying the bills, coming home without perfume or lipstick on him and giving what you need in bed, don't worry about anything else he's doing.

He has choosen you wala usihofu.

Nb: sipo hivyo kwa wangu

[emoji23][emoji23][emoji23] we ukoje?
 
[emoji23][emoji23][emoji23] we ukoje?
Dc amesema as long as he provides utulieee hakuna kukwesheni wala neneeee!🤠!

Naona huu uzi umekupenya kavukavuuuuuuuu mamaa la mama🤠🤭!

Asalaammm Aleykum!!!
 
Dc amesema as long as he provides utulieee hakuna kukwesheni wala neneeee!🤠!

Naona huu uzi umekupenya kavukavuuuuuuuu mamaa la mama🤠🤭!

Asalaammm Aleykum!!!
Me muda wa kukwesheni ninao mwingi wa kutosha na balaa langu analijua vizuri 🤣🤣🤣🤣
Sema wezi wa mabwana za watu km wamepanic hivi au nimeona vibaya??
Me mkomao wowote ukijileta kwa Kantri nachafua hali ya hewa, Sitaki mazoea ya kifaller na utraaamu wangu.
 
Back
Top Bottom