Nimekuta taulo ya hedhi ya mke wangu iliyotumika imehifadhiwa kabatini, ina maana gani

Nimekuta taulo ya hedhi ya mke wangu iliyotumika imehifadhiwa kabatini, ina maana gani

Siku moja nikiwa natafta ID yangu nilikutana na pedi ya mke wangu iliyotumika imetunzwa kwenye hand beg chumbani, nilishkwa butwaa sana. Nilichofanya ni kuipiga kiberiti, hakuwahi niuliza Chochote.

Sasa majuzi tena nimekuta ameweka nyingine, nimerudia zoezi la kupiga kiberiti japo sijamwambia chochote.

Wajuvi wa mambo, naomba ushauri kabla sijamwambia.
Zingatia HANDBAG , hapo maana yake alibadilisha pedi nje ya nyumbani and she was not at liberty to dispose it huko alipokuwepo, so akaamua aje nayo kwenu, only kuishia kusahau.
Hakuna ushirikina hapo, angekuwa mshirikina ungekua umeshazila na kujilamba kwenye madikodiko na misosi mingine anayokuandalia.
 
Sie wengine pedi na mambo yote yanayohusu periods ni issue za mume kuanzia kuzingatia kalenda, kununua pedi, kuzibandika ili tukitoka kuoga tukute zipo tayari kwenye chupi mpk kuzichoma tunapozitoa.

Sikwambii uige ila hakuna uchawi wowote, period sio kitu cha kukihusisha na ushirikina. Ni kama mwanaume kuota ndevu!
Anyways
Hata sijui ka naweza kukushauri kitu.
 
Siku moja nikiwa natafta ID yangu nilikutana na pedi ya mke wangu iliyotumika imetunzwa kwenye hand beg chumbani, nilishkwa butwaa sana. Nilichofanya ni kuipiga kiberiti, hakuwahi niuliza Chochote.

Sasa majuzi tena nimekuta ameweka nyingine, nimerudia zoezi la kupiga kiberiti japo sijamwambia chochote.

Wajuvi wa mambo, naomba ushauri kabla sijamwambia.
Acha mawazo Mabaya
 
Siku moja nikiwa natafta ID yangu nilikutana na pedi ya mke wangu iliyotumika imetunzwa kwenye hand beg chumbani, nilishkwa butwaa sana. Nilichofanya ni kuipiga kiberiti, hakuwahi niuliza Chochote.

Sasa majuzi tena nimekuta ameweka nyingine, nimerudia zoezi la kupiga kiberiti japo sijamwambia chochote.

Wajuvi wa mambo, naomba ushauri kabla sijamwambia.
Bora hata wewe uliiona kabatini mimi toka niwe na mke wangu mwaka wa 8 huu sijawahi kuiona ped yake anakoweka.

Wanawake wengi sana wanaojitambua ped na chupi zao wanapoanika huwez kujua au huwez kuona wamezitupa wapi sabab mtu mbaya akiishika tu ped yako umeisha kuanzia afya mpaka uzazi.

Na wengine huchukua ile ped ya siku ya kwanza ya mzunguko then anaifunga hapo utapiga hata miaka 6 hapati mimba siku akitaka mimba anaifungua ngoma imo na bahat mbaya ikipotea ikiwa imefungwa hapo atakufa hapo atakufa mgumba
 
Siku moja nikiwa natafta ID yangu nilikutana na pedi ya mke wangu iliyotumika imetunzwa kwenye hand beg chumbani, nilishkwa butwaa sana. Nilichofanya ni kuipiga kiberiti, hakuwahi niuliza Chochote.

Sasa majuzi tena nimekuta ameweka nyingine, nimerudia zoezi la kupiga kiberiti japo sijamwambia chochote.

Wajuvi wa mambo, naomba ushauri kabla sijamwambia.
Usitafute sana maana kwenye vitu vya mke wako, huyo ni ubavu wako muite muulize atakachokwambia amini hicho hicho

Huyo ndiyo wako wa kufanana naye
 
Siku moja nikiwa natafta ID yangu nilikutana na pedi ya mke wangu iliyotumika imetunzwa kwenye hand beg chumbani, nilishkwa butwaa sana. Nilichofanya ni kuipiga kiberiti, hakuwahi niuliza Chochote.

Sasa majuzi tena nimekuta ameweka nyingine, nimerudia zoezi la kupiga kiberiti japo sijamwambia chochote.

Wajuvi wa mambo, naomba ushauri kabla sijamwambia.
Umeruhisuje hayo yatokee? Ina maana gani kumuoa kama unashindwa kumthibiti? Yaani msichana anunua ped na MKE anunue,? Zalisha Mzee, jaza dunia ukiwapa nafasi wanakuwa kama akina zari umama wanataka na usichana wanautaka. Sasa zote mfanye awe na harufu ya maziwa ya mtoto
 
Zingatia HANDBAG , hapo maana yake alibadilisha pedi nje ya nyumbani and she was not at liberty to dispose it huko alipokuwepo, so akaamua aje nayo kwenu, only kuishia kusahau.
Hakuna ushirikina hapo, angekuwa mshirikina ungekua umeshazila na kujilamba kwenye madikodiko na misosi mingine anayokuandalia.
Yawezekana Pia Chief , kilichonipa hofu ni baada ya Kuchoma ya Kwanza ambayo ilikuwa ishakaa muda mrefu, afu tena nakuta tena nyingne
 
Back
Top Bottom