Nimekuta vitu kama dawa za kishirikina jikoni kwa mchepuko wangu

Sasa Mkuu hivyo si ni viungo tu vya pilau na vyakula aina zingine?
 
Gaddamit! Umenikumbusha demu wangu wa zamani kila nikienda kwake lazima afanye uhakika nile ndio niondoke nikajikuta naendeshwa kama mbuzi mwisho wa siku, haya maisha ni hatari yani tunaishi kwa timing sana.
Hahahaa
 
Hivi huyu mwanamke bado mshamba hivyo? Mambwata ya kutia kwa chakula mbna zama zake zimepita kitambo sana?

Hahahah nwei mjanja kakutan na mjanja mwenzie, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
amu aunt njoo huku uone mambo ya mswano.
Wewe huwa unatumia mbinu gani kutukamata sisi vidume vya mbegu??.
 
Huwezi kukubali kuwa na mchepuko wa kudumu ukiwa na akili timamu, lazima uwe umerogwa.


Vv
 
Mkuu sio kila dawa ni za kienyeji ni za mapenzi je ungekutana na panado jikoni ungekuja hapa
 
Tatizo wanaume wa Sasa tumekaa kihasara Sana ....sijui ndio hatujitambui ...yaani utafikiri hatujui tupo ulimwengu gani.

Ndio maana hata siro majuzi kasema utashangaa nyumba dar yaani ndani hakuna hata panga [emoji1787][emoji1787]

Wanaume tunahitaji kukomaaa na kujizatiti
 
Aisee
 
Iwe kweli au sio kweli, ndio maana mimi sipendi kula kwa watu
 
Aisee
 
Pamoja na yote huna ubavu wa kumuacha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] vip leo hujaenda kwake?
Jana kaniita et ..Halooo G, baba leo jion uje nikukate kucha

Kweli nkaenda akanikata kucha za miguu


Sasa kimbembe ninani wakuzitupa kucha,

Akaanza Au unaogopaa eehhh, niziache uzitupe mwenyewe??


Nikamkaziaa... Eehhhh kuna watu wanaroga sana ,akishapata kucha zako anakurogaa.


Basi dem akaanza kucheka weeeee


Kwa ufupi, kinachonishangaza yaaan siku hizi haishi kunitambulisha kwa wanawake wenzake..Mume wangu..mume wangu..mume wanguuu

Yaaan Huyi Demu anajiweza tu vzuri ,sasa ananiambia et Ameanza kujenga, kwahiyo anataka kila kitu nisimame mimi kama Mume wake

Nikastukaaa


Kuna siku nilikua Ofisin kwake, sasa wakaja vijana wawili wanataka kuweka hela milion moja, wakanza maneno mengi weee nikajua hawa vibaka.


Nikawatisha ,wakakimbia, Ikabidi nitoke nao nduki, nikafanikiwa kumkamata mmoja, Piga makofi ,nikamrudisha mpka ofisin, akaanza kulia lia weee, nikapeleka kituo cha polis.


Basi Demu huyu, siku nzima aakawa anawapigia ndugu zake, nilitaka kutapeliwaa, Mume wangu kanisaidiaa, kawakimbizaa, kakamata mmoja

Yaan kila simu anawaambia Mume wangu G.


Kiukweli mpaka najistukia, namm sina mpango wowote naye, sababu nina Familia.
 
Pamoja na yote huna ubavu wa kumuacha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] vip leo hujaenda kwake?
Mwanamke anayekupa K unavyotaka, tena wakat mwengine anakupigia simu au anakutext..


G huku chin panawashaa njooo unikute na fimbo yako[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


Kumuacha nikazi
 
Hahahahahajaha Limbwata tayari! ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 

Carlos The Jackal Mungu hajakupungukia
Sasa tafuta njia sahihi mchepuko sio deal
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ