figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
Assembled in TanzaniaIndeed made in Tanzania
Viwanda vyote vya magari duniani huwa ni assemblers tu. Wanasource vifaa mbalimbali vya magari kutoka kwa watengenezaji mbalimbali. Injini kutoka kwa huyu na suspension system kutoka kwa mwingine.Sijaelewa vizuri, body ndio imeundwa hapa ama kuanzia chassis, engine na body vyote vimeundwa hapa Tanzania?
Asifiwe nani? Polepole au Bashiru?Hukipaswa kumsofia mama Samia hapa. Sio kila jambo ni siasa. Samia hana credit yoyote hapo.
Kama ni hv bas sio bas ya kwanza kuhundwa bongo. Wajitaidi wabadirishe huo muonekano kwa mbele maana unafanana na bus za kichina.Viwanda vyote vya magari duniani huwa ni assemblers tu. Wanasource vifaa mbalimbali vya magari kutoka kwa watengenezaji mbalimbali. Injini kutoka kwa huyu na suspension system kutoka kwa mwingine.
Waundaji au watengenezaji. Samia kakuta kazi imeanza.Asifiwe nani? Polepole au Bashiru?
Wataje tuwasifie. Rais Samia anasifiwa sababu ndo jicho la Tanzania duniani. Kwa niaba ya Watanzania na ndo Kiongozi. Na wewe Wasifie wanaokuongoza. Upo huruWaundaji au watengenezaji. Samia kakuta kazi imeanza.