Nimekutana na Basi "Made in Tanzania", hongera Rais Samia Suluhu

Nimekutana na Basi "Made in Tanzania", hongera Rais Samia Suluhu

Hayo magari mengine yote huko nje yanatengenezwa na marais wa nchi hizo? Utoto mwingine bana.
Kidogo ninashangaa!

Mkuu 'Figganigga' siyo mtu mgeni hapa JF. Sikuwahi kumsoma kwa nyimbo kama hizi hapa jukwaani!

Hivi inawezekana mtu kujitoa akili kirahisi namna hii?

Kwa bahati mbaya hii ndiyo hulka inayowatambulisha waTanzania wengi.
 
Kidogo ninashangaa!

Mkuu 'Figganigga' siyo mtu mgeni hapa JF. Sikuwahi kumsoma kwa nyimbo kama hizi hapa jukwaani!

Hivi inawezekana mtu kujitoa akili kirahisi namna hii?

Kwa bahati mbaya hii ndiyo hulka inayowatambulisha waTanzania wengi.
Labda kadokezwa kuna teuzi za wakuu wa wilaya.
 
Magari yote ya magereza yale ya kijani yanayobeba wafungwa yametengenezwa na Manji , diwani wa Mbagala kuu
 
Viwanda vyote vya magari duniani huwa ni assemblers tu. Wanasource vifaa mbalimbali vya magari kutoka kwa watengenezaji mbalimbali. Injini kutoka kwa huyu na suspension system kutoka kwa mwingine.
Akiba ya maneno muhimu sana.
 
Msiturudishe kule jamaaa..!! Kule ambako mchezaji anafunga gola uwanjani anasifiwa raisi. Furthermore, ni made in Tz au assembled in Tz?
Mkuu hii nchi bado kuna shida sana kwa baadhi ya watu. Sometimes unajiuliza hivi huyu mtu ni mzima kichwani? Reasoning abilities zao ni questionable kwa kweli. Na siajabu hao ndio wanapewa nafasi ya kuwa policy makers
 
Salaam Wakuu,

Nimeanza kukubali utendaji wa Raia Samia baada ya kufanya mambo kwa Vitendo. Siku chini ya 90 za Uongozi wake, tumenza kuona kwa macho ya nyama kazi zake au mwendelezo wa kazi za nyuma.

Hakika Watanzania sasa tunasonga mbele.

Hakuna aliyetekwa, hakuna aliyeuawa, hakuna aliyeshikiliwa, Wananchi wana Furaha na kazi inaendelea.

Tanzania tumebarikiwa na Mungu katupa upendeleo wa Viongozi.

View attachment 1813536View attachment 1813537
Limekua Assembled au made in Tanzania? Ni swali tu
 
Salaam Wakuu,

Nimeanza kukubali utendaji wa Raia Samia baada ya kufanya mambo kwa Vitendo. Siku chini ya 90 za Uongozi wake, tumenza kuona kwa macho ya nyama kazi zake au mwendelezo wa kazi za nyuma.

Hakika Watanzania sasa tunasonga mbele.

Hakuna aliyetekwa, hakuna aliyeuawa, hakuna aliyeshikiliwa, Wananchi wana Furaha na kazi inaendelea.

Tanzania tumebarikiwa na Mungu katupa upendeleo wa Viongozi.

View attachment 1813536View attachment 1813537
Kiwanda gani kimetengeneza hili basi?
 
Salaam Wakuu,

Nimeanza kukubali utendaji wa Raia Samia baada ya kufanya mambo kwa Vitendo. Siku chini ya 90 za Uongozi wake, tumenza kuona kwa macho ya nyama kazi zake au mwendelezo wa kazi za nyuma.

Hakika Watanzania sasa tunasonga mbele.

Hakuna aliyetekwa, hakuna aliyeuawa, hakuna aliyeshikiliwa, Wananchi wana Furaha na kazi inaendelea.

Tanzania tumebarikiwa na Mungu katupa upendeleo wa Viongozi.

View attachment 1813536View attachment 1813537
So unaamini hiyo kazi imefanyika ndan ya siku 90? Yaan kuanzia wazo Mpka hiyo product?
Pole sana
 
Nadhani ww ndio unajua leo. lakin hivi vitu vimefanyika before jpm hajawa rais.

Na hizo mambo za kusifia mtu mwingine wkt wapo vijana waliopambana kuunda hili bodi uache.

sifa ziende kwa waliohusika
jinga wewe, sifa zinaenda kwa kwa anaeweka mazingira mazuri kuwezesha ubunifu
 
Hilo basi (sio moja) limeundwa na mzee mmoja yupo Kibaha kitambo sana, nadhani alianza harakati zake kipindi mwendazake akiwa Rais...

Katika hali ya kawaida hata kama ingekuwa ni kweli Samia kahusika (najua si kweli), ndani ya miezi 3 hakuna mtu anayaweza kubuni, kuunda gari kubwa hivyo lenye mifumo kedekede...

Wakati mwingine let's use our common sense...
 
Hilo basi (sio moja) limeundwa na mzee mmoja yupo Kibaha kitambo sana, nadhani alianza harakati zake kipindi mwendazake akiwa Rais...

Katika hali ya kawaida hata kama ingekuwa ni kweli Samia kahusika (najua si kweli), ndani ya miezi 3 hakuna mtu anayaweza kubuni, kuunda gari kubwa hivyo lenye mifumo kedekede...

Wakati mwingine let's use our common sense...
Common sense na members [wengi] wa JF??!!

You kidding me!
 
Mbona viwanda vinavyoteneneza basi hizo vipo... hapa kuna kitu tunaongopewa tunapoambiwa hii ndo basi ya kwanza sio kweli mbona dar coach anatengeneza hizo kila siku hapo wangesema kuwa hii ni kiwanda cha kutengeneza mabody na chases za basi kama dar coach tungeelewa basi nyingi za kunjunga zinatoka dar coach au yusufali board

Hizi picha hapa chini zote body tanzania na chases kasoro machine tu kwa maana ingini na gearbox View attachment 1813573View attachment 1813574View attachment 1813575View attachment 1813576View attachment 1813577View attachment 1813579View attachment 1813580View attachment 1813581
Hilo bus la Premier limeundwa na Jn star (BM Motors) pamoja na hilo alilo post mtoa mada
 
Back
Top Bottom