Nimekutana na Basi "Made in Tanzania", hongera Rais Samia Suluhu

Nimekutana na Basi "Made in Tanzania", hongera Rais Samia Suluhu

Gari inatengenezwa kwa siku 70?

Acha utoto wewe. Toa sifa kwa rais anaestahili. Heko Hayati JPM.
 
Salaam Wakuu,

Nimeanza kukubali utendaji wa Raia Samia baada ya kufanya mambo kwa Vitendo. Siku chini ya 90 za Uongozi wake, tumenza kuona kwa macho ya nyama kazi zake au mwendelezo wa kazi za nyuma.

Hakika Watanzania sasa tunasonga mbele.

Hakuna aliyetekwa, hakuna aliyeuawa, hakuna aliyeshikiliwa, Wananchi wana Furaha na kazi inaendelea.

Tanzania tumebarikiwa na Mungu katupa upendeleo wa Viongozi.

View attachment 1813536View attachment 1813537
Acha kujipendekeza. Samia kaingia juzi tu anahusikaje na utengenezaji wa hilo basi? Badala ya kupongeza wabunifu na watengenezaji unapongeza wanasiasa wasiojua A wala Z

Sent from my TECNO P701 using JamiiForums mobile app
 
fala sana,Kwa hiyo Samia kaunda hilo basi?! halafu hapo wametengeneza basi au bodi?kama ni bodi mbona hata Katavi wanaunda?
 
Viwanda vyote vya magari duniani huwa ni assemblers tu. Wanasource vifaa mbalimbali vya magari kutoka kwa watengenezaji mbalimbali. Injini kutoka kwa huyu na suspension system kutoka kwa mwingine.
Tusipende kujipa sifa za kitoto! Tz HATUNA kiwanda cha magari. Tuna viwanda vya kuunda bodi za mabasi na malori. Huwa tunaagiza magari toka kwa WATENGENEZAJI WA MAGARI yakiwa chassis ( chassis= frame and engine), halafu sisi tunayaundia bodi ya lori/basi. Hatujawa na uwezo wa kutengeneza chassis ambayo ndio gari yenyewe.
Halafu huu ujinga wa kila jambo linalofanyika anapewa rais sifa tunapaswa kuondokana nao. Tusiwe kama watoto ambao wanaamini baba au mama yao anaweza kufanya chochote hata kuhamisha mlima.
Huu ujinga ulianzia kwa aliyejobatiza jina 'jiwe'. Tuliaminishwa kila kitu anafanya yeye. Miundombinu tunajenga kila siku tangu tupate uhuru, lakini media zikaminywa na kulazimishwa kutoa sifa za uwongo mpaka wakataka kumuongezea muda. Eti akistaafu hakuna atakayeweza kuvaa viatu vyake. Sasa Mungu amefanya yake, na kila kitu kinaendelea.
 
Salaam Wakuu,

Nimeanza kukubali utendaji wa Raia Samia baada ya kufanya mambo kwa Vitendo. Siku chini ya 90 za Uongozi wake, tumenza kuona kwa macho ya nyama kazi zake au mwendelezo wa kazi za nyuma.

Hakika Watanzania sasa tunasonga mbele.

Hakuna aliyetekwa, hakuna aliyeuawa, hakuna aliyeshikiliwa, Wananchi wana Furaha na kazi inaendelea.

Tanzania tumebarikiwa na Mungu katupa upendeleo wa Viongozi.

View attachment 1813536View attachment 1813537
Duh.....
 
Salaam Wakuu,

Nimeanza kukubali utendaji wa Raia Samia baada ya kufanya mambo kwa Vitendo. Siku chini ya 90 za Uongozi wake, tumenza kuona kwa macho ya nyama kazi zake au mwendelezo wa kazi za nyuma.

Hakika Watanzania sasa tunasonga mbele.

Hakuna aliyetekwa, hakuna aliyeuawa, hakuna aliyeshikiliwa, Wananchi wana Furaha na kazi inaendelea.

Tanzania tumebarikiwa na Mungu katupa upendeleo wa Viongozi.

View attachment 1813536View attachment 1813537
Praise&Worship Team.
 
Gari inatengenezwa kwa siku 70?

Acha utoto wewe. Toa sifa kwa rais anaestahili. Heko Hayati JPM.
Huyo nyumbu anadhani akimsifia Samia atakuwa amemkomoa Magufuli wakati Tanzania ya viwanda wameanza kuiimba wote tangu 2015
 
Salaam Wakuu,

Nimeanza kukubali utendaji wa Raia Samia baada ya kufanya mambo kwa Vitendo. Siku chini ya 90 za Uongozi wake, tumenza kuona kwa macho ya nyama kazi zake au mwendelezo wa kazi za nyuma.

Hakika Watanzania sasa tunasonga mbele.

Hakuna aliyetekwa, hakuna aliyeuawa, hakuna aliyeshikiliwa, Wananchi wana Furaha na kazi inaendelea.

Tanzania tumebarikiwa na Mungu katupa upendeleo wa Viongozi.

View attachment 1813536View attachment 1813537
Kwahio mkuu NIT wameunda hadi engine?
 
Mbona kuunda basi ni kitu simple sana kujifunia ni kutaka kuchekwa na wenzetu.
Ukiwa na grenda, welding machine unashindwa vipi kuunda.
 
Wameanza vizuri, kidogo kidogo nasi tutafika kama hawa vijana wa Malasyia

FB_IMG_1609507548048.jpg


FB_IMG_1609507692979.jpg


FB_IMG_1609507243138.jpg


FB_IMG_1609507696583.jpg


FB_IMG_1609507435046.jpg


FB_IMG_1609507700704.jpg


FB_IMG_1609507464917.jpg


FB_IMG_1609507472724.jpg


FB_IMG_1609507791822.jpg


FB_IMG_1609507676895.jpg


FB_IMG_1609507890989.jpg


FB_IMG_1609507680467.jpg


FB_IMG_1609502477493.jpg


FB_IMG_1609507897842.jpg


FB_IMG_1609507686133.jpg


FB_IMG_1609507906960.jpg


FB_IMG_1609507689605.jpg


FB_IMG_1609506880058.jpg


FB_IMG_1609507766628.jpg


FB_IMG_1609507771696.jpg


FB_IMG_1609507660365.jpg


FB_IMG_1609507776881.jpg


FB_IMG_1609507665399.jpg


FB_IMG_1609507786093.jpg


FB_IMG_1609507668888.jpg


FB_IMG_1609507751733.jpg


FB_IMG_1609507606450.jpg


FB_IMG_1609507755622.jpg


FB_IMG_1609507640313.jpg


FB_IMG_1609507647307.jpg
 
Hizi zipo advanced kuliko hizo za moshi, ndo maana wapo NIT kutafuta roadworthy certificates, ni kama jamaa wanataka kufanya vitu kwa umakini zaidi
Waweke bei reasonable Ili tusipeleke pesa China kununua body za miaka 2
 
Back
Top Bottom