Nimekutana na Basi "Made in Tanzania", hongera Rais Samia Suluhu

Nimekutana na Basi "Made in Tanzania", hongera Rais Samia Suluhu

JN

FB_IMG_1623328606984.jpg


FB_IMG_1623328601397.jpg


FB_IMG_1623328621209.jpg


FB_IMG_1623328617531.jpg
 
Magu yeye ndio alitengeneza hilo gari, ana karakana? Angeweza kutengeneza gari angeenda kupora hela za wenye Bureau de change?
Nafsi inakusuta kuda deki.

Tangu uhuru hii nchi haijawahi tengeneza basi.
 
Sina ufahamu na uhalali wa hii habari ila kwa wale wanaong'ang'ana na assemble in TZ ni hivi Viwanda karibu vyote vya magari vina source ya kupata engine, gearbox, electrical equipment ndo wanaasemble magari. Kama hii ni mwendelezo wa uundaji magari nchini hongereni sana wahusika, hongera serikali. Hawa watu wawezeshwe.
Sijui mtanganyika kachangia kiasi gani. Yale yaleeee! Mitambo ya Mang'ula waling'oa wakauza nje, NECO mitambo ya kuyeyusha chuma wakang'oa wakauza nje halafu wakaanza kuagiza bidhaa zilizokuwa zinaundwa hapa nchini kwa waliowauzia mitambo.
 
Next time.. Ma nigga cc. figga nigga chunguza kwanza 🤣🤣🤣 usiwaamin hawa raia, hiyo chombo wamefanya assembling tuu!!! Mazagazaga yote yametoka ng'ambo.
 
Hii mbona ilianza muda tu NIT. Hata walikuwa wanapilot utengenezaji wa ndege ndogo, na kama sijakosea kwenye maiden flight ya testing ilipata ajali....
 
Msiturudishe kule jamaaa..!! Kule ambako mchezaji anafunga gola uwanjani anasifiwa raisi. Furthermore, ni made in Tz au assembled in Tz?
Ha ha ha Ila Jiwe aliifanya hii Nchi kama tambala
 
Ha ha ha Ila Jiwe aliifanya hii Nchi kama tambala
Samia ni Magufuli.

Samia aliteuliwa na Magufuli kama alivyoteuliwa Sabaya, Hapi, Majaliwa,Mpango etc

Acha wanafunzi wa Magufuli waumane
 
Umedandia. Soma kwanza tangu mwanzo tulikoanzia.
Wabongo bana 🤣🤣, yaan unaona nimekoment ambacho hakihusiani na mada au 🤣🤣🤣. Unaposema made in inamaanisha imetengenezwa in general nchi husika, na hapa kwetu hatuna uwezo wa ku made motor car's. That's why nikasema kilichofanyika ni assembling tuu
 
Back
Top Bottom