Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nafsi inakusuta kuda deki.Magu yeye ndio alitengeneza hilo gari, ana karakana? Angeweza kutengeneza gari angeenda kupora hela za wenye Bureau de change?
Sijui mtanganyika kachangia kiasi gani. Yale yaleeee! Mitambo ya Mang'ula waling'oa wakauza nje, NECO mitambo ya kuyeyusha chuma wakang'oa wakauza nje halafu wakaanza kuagiza bidhaa zilizokuwa zinaundwa hapa nchini kwa waliowauzia mitambo.Sina ufahamu na uhalali wa hii habari ila kwa wale wanaong'ang'ana na assemble in TZ ni hivi Viwanda karibu vyote vya magari vina source ya kupata engine, gearbox, electrical equipment ndo wanaasemble magari. Kama hii ni mwendelezo wa uundaji magari nchini hongereni sana wahusika, hongera serikali. Hawa watu wawezeshwe.
Nafsi inakusuta kuda deki.
Tangu uhuru hii nchi haijawahi tengeneza basi.
Ili iwe made in TZ inatakiwa ingine, body, na mavifaa yote yawe yameundwa TZ.🤣Rekebisha title iwe" assembled in Tanzania
Hii ni kwel, lakin kwenye kuunda body walikuwepo toka kitambo.Nafsi inakusuta kuda deki.
Tangu uhuru hii nchi haijawahi tengeneza basi.
Wasifiwe waliofanya assemblingAsifiwe nani? Polepole au Bashiru?
Ulitaka asifiwe Mbiwe au Lissu?Kumbe utoaji hovyo wa sifa kama hizi haukuzikwa kaburi moja na mwendazake? .Kwa kweli Watanzania tunahitaji tiba!
Ili iwe made in TZ inatakiwa ingine, body, na mavifaa yote yawe yameundwa TZ.[emoji1787]
Mzee unapotosha hata wengine ambao hawajui ukwel, hapo imefanyika assembling tuuNafsi inakusuta kuda deki.
Tangu uhuru hii nchi haijawahi tengeneza basi.
Sawa mtaalam.Exactly!
Ha ha ha Ila Jiwe aliifanya hii Nchi kama tambalaMsiturudishe kule jamaaa..!! Kule ambako mchezaji anafunga gola uwanjani anasifiwa raisi. Furthermore, ni made in Tz au assembled in Tz?
Umedandia. Soma kwanza tangu mwanzo tulikoanzia.Mzee unapotosha hata wengine ambao hawajui ukwel, hapo imefanyika assembling tuu
Samia ni Magufuli.Ha ha ha Ila Jiwe aliifanya hii Nchi kama tambala
Wabongo bana 🤣🤣, yaan unaona nimekoment ambacho hakihusiani na mada au 🤣🤣🤣. Unaposema made in inamaanisha imetengenezwa in general nchi husika, na hapa kwetu hatuna uwezo wa ku made motor car's. That's why nikasema kilichofanyika ni assembling tuuUmedandia. Soma kwanza tangu mwanzo tulikoanzia.