Ujanja ujanja unakuza uchumiUjanjaujanja Umerudi Tena Kwa Kasi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ujanja ujanja unakuza uchumiUjanjaujanja Umerudi Tena Kwa Kasi
Ilifika mahali mtu akimpa mimba mke wake anasifiwa Rais wa kishindo cha awamu ya tanoMsiturudishe kule jamaaa..!! Kule ambako mchezaji anafunga gola uwanjani anasifiwa raisi. Furthermore, ni made in Tz au assembled in Tz?
Kwan hio bas imeundwa na NIT ama JN? Maana naona hapo kuna trademarks ya nyagawa na sio NIT
Ukweli hii ID nikikuwa naiheshimu sana, sikujua kama ni low kiasi hiki, mpaka hapa naandika naamini imedukuliwaWataje tuwasifie. Rais Samia anasifiwa sababu ndo jicho la Tanzania duniani. Kwa niaba ya Watanzania na ndo Kiongozi. Na wewe Wasifie wanaokuongoza. Upo huru
Fuel pump anatumia za nani? Siyo za mjerumani BOSCH?Toyota anatumia Engine zake mwenyewe.
Mfano wa vitu anavyonunua kwa wengine ni gearbox ambazo ananunua kutoka Aisin. Lakini vitu vingi anatengeneza mwenye.
Toyota anatengeneza engine ni kweli au uwongo?Fuel pump anatumia za nani? Siyo za mjerumani BOSCH?
Believe me,hata engine ana outsource. Hata viwanda vya ndege injini wanaoutsource.
Assembled in tzMsiturudishe kule jamaaa..!! Kule ambako mchezaji anafunga gola uwanjani anasifiwa raisi. Furthermore, ni made in Tz au assembled in Tz?
Tatizo ni kutojua lugha, labda walitaka kusema assembled in Tanzania.Sijaelewa vizuri, body ndio imeundwa hapa ama kuanzia chassis, engine na body vyote vimeundwa hapa Tanzania?
Kilichukuwa made in Tanzania hapa ni basi au hii karatasi, au NIT Road Test? Na najua Tanzania hawana pumzi ya kutengeneza basi, afadhali labda wangesema assembled in TanzaniaSalaam Wakuu,
Tanzania tumebarikiwa na Mungu katupa upendeleo wa Viongozi.
asifiwe Magufuli eeeeHukipaswa kumsofia mama Samia hapa. Sio kila jambo ni siasa. Samia hana credit yoyote hapo.
kwanini wamwlita jina la MABEBERU?Salaam Wakuu,
Nimeanza kukubali utendaji wa Raia Samia baada ya kufanya mambo kwa Vitendo. Siku chini ya 90 za Uongozi wake, tumenza kuona kwa macho ya nyama kazi zake au mwendelezo wa kazi za nyuma.
Hakika Watanzania sasa tunasonga mbele.
Hakuna aliyetekwa, hakuna aliyeuawa, hakuna aliyeshikiliwa, Wananchi wana Furaha na kazi inaendelea.
Tanzania tumebarikiwa na Mungu katupa upendeleo wa Viongozi.
View attachment 1813536View attachment 1813537
Nadhani ni assembly's linw iko kibaha pale kama zamani wali assembles scania...Sijaelewa vizuri, body ndio imeundwa hapa ama kuanzia chassis, engine na body vyote vimeundwa hapa Tanzania?
ExactlyAssembled in Tanzania
Hii itukumbushe sote miaka miwili iliyopita MaCCM wa Dar es Salaam walivyo mlundikia misifa ya kijinga Magufuli kwa kuwezesha ndege A380 kutua kwa dharura Dar ikielekea Mauritius wakati Terminal Three ikiendelea kujengwa. Ndege hii ndo kubwa ya abiria kuliko zote duniani na ilikuwa imetua kwa muda mfupi mara ya kwanza Tanzania wala haikuonekana tena hadi leo, Mwendazake akiwa ametuachia madege yake. MaCCM yakamsifia sana Magufuli badala ya Rais wa Mauritius kwa kupokea wageni wengi hivyo kwenye kanchi kadogo kuliko Wilaya zetu nyingi wala hayakushangaa ndege hiyo ilikuwa ya Emirates ambao kwa kukosa abiria, huleta videge vidogo Dar na KIA mara kadhaa kwa wiki. Mleta mada anazidi kuonyesha ujinga wa MaCCM wa kutojua bodi za mabasi mazuri kabisa Nchi nzimà na Kenya huko nyuma zilikuwa zinatengenezwa na Quality Garage ya Dar es Salaam. Hilo basi la Rais wetu ni moja tu na atakae lipitisha kwa matumizi ya kila siku atakuwa naye anatafuta uteuzi kwa kuua watu badala ya wasiojulikana.Salaam Wakuu,
Nimeanza kukubali utendaji wa Raia Samia baada ya kufanya mambo kwa Vitendo. Siku chini ya 90 za Uongozi wake, tumenza kuona kwa macho ya nyama kazi zake au mwendelezo wa kazi za nyuma.
Hakika Watanzania sasa tunasonga mbele.
Hakuna aliyetekwa, hakuna aliyeuawa, hakuna aliyeshikiliwa, Wananchi wana Furaha na kazi inaendelea.
Tanzania tumebarikiwa na Mungu katupa upendeleo wa Viongozi.
View attachment 1813536View attachment 1813537
Gari inatengenezwa kwa siku 70?
Acha utoto wewe. Toa sifa kwa rais anaestahili. Heko Hayati JPM.