Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 9,034
- 6,913
Sawa mkuu Ila tunaongea kwa facts na namba 👇Hicho kiwanda kimeanza kazi kipindi cha uporaji, hakuna kiwanda kipya ndani ya utawala mpya tusilishane matango pori
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mkuu Ila tunaongea kwa facts na namba 👇Hicho kiwanda kimeanza kazi kipindi cha uporaji, hakuna kiwanda kipya ndani ya utawala mpya tusilishane matango pori
Kabla ya uongo huu wako jibu kwanza maswali haya. Je kiwanda gani kimetengeza gari hilo, Engine gear box na differential vimetengenezwa wapi? Je ni make na model gani? Au tusema basi hilo ni gari aina gani.Salaam Wakuu,
Nimeanza kukubali utendaji wa Raia Samia baada ya kufanya mambo kwa Vitendo. Siku chini ya 90 za Uongozi wake, tumenza kuona kwa macho ya nyama kazi zake au mwendelezo wa kazi za nyuma.
Hakika Watanzania sasa tunasonga mbele.
Hakuna aliyetekwa, hakuna aliyeuawa, hakuna aliyeshikiliwa, Wananchi wana Furaha na kazi inaendelea.
Tanzania tumebarikiwa na Mungu katupa upendeleo wa Viongozi.
View attachment 1813536View attachment 1813537
Acha kudharau wataalam wetu wa ndani mkuu. Ni vema ukapongeza na kutoa tathmini yako ya nini kifanyike ili kuboresha.Wameunga mabati kutengeneza bodi hakuna kipya hapo kwa hao mafundi mshundo wa NIT
Itafute Gari ya Japan, Germany,USA au kwingine kokote kama utakuta spare sio za Taifa hilo!!...Gari za Mchina ndio pasua kichwa kabisa spare hadi kwa manufacturers wenyewe!!Kongole kwa kazi mzuri ni hatua kubwa. Tusibeze tu kuwa made/assembled in Tanzania. Ifahamike tu hata Japan/China sio vifaa vyote wanatengeneza wenyewe. Kunavyo wanavyoagiza nchi zingine na kuunda gari zao.
Sifikiri karne hizi kuna anayetengeneza kwa mawazo yako, si magari tu almost kila kitu watu wanachanganya.Assembled in Tanzania!
Nioneshe kiwanda cha hizo tairi, taa, vioo kisha uje na kwenye engine yani foundry plant, bolts n nuts, rims na chassis pamoja na ma diff kisha ndio uje na conclusion kwamba ni made in Tanzania!
Kama vyote vilivuka maji toka TPA na kuja hapo NIT basi naomba ubadili title ya uzi haraka.