Nimekutana na Basi "Made in Tanzania", hongera Rais Samia Suluhu

Nimekutana na Basi "Made in Tanzania", hongera Rais Samia Suluhu

Salaam Wakuu,

Nimeanza kukubali utendaji wa Raia Samia baada ya kufanya mambo kwa Vitendo. Siku chini ya 90 za Uongozi wake, tumenza kuona kwa macho ya nyama kazi zake au mwendelezo wa kazi za nyuma.

Hakika Watanzania sasa tunasonga mbele.

Hakuna aliyetekwa, hakuna aliyeuawa, hakuna aliyeshikiliwa, Wananchi wana Furaha na kazi inaendelea.

Tanzania tumebarikiwa na Mungu katupa upendeleo wa Viongozi.

View attachment 1813536View attachment 1813537
 
Salaam Wakuu,

Nimeanza kukubali utendaji wa Raia Samia baada ya kufanya mambo kwa Vitendo. Siku chini ya 90 za Uongozi wake, tumenza kuona kwa macho ya nyama kazi zake au mwendelezo wa kazi za nyuma.

Hakika Watanzania sasa tunasonga mbele.

Hakuna aliyetekwa, hakuna aliyeuawa, hakuna aliyeshikiliwa, Wananchi wana Furaha na kazi inaendelea.

Tanzania tumebarikiwa na Mungu katupa upendeleo wa Viongozi.

View attachment 1813536View attachment 1813537
Watutengenezee na mabasi ya mwendo kasi mengi sana ,ili mabilioni yanayoenda kwa wachina yabaki hapahapa nchini kwetu
 
Basi hii imeunganishwa Kibaha kwenye kiwanda cha mtanzania na jina la basi ni kifupi cha jina la mmiliki ambaye ni mtu wa nyanda za juu kusini.
 
Salaam Wakuu,

Nimeanza kukubali utendaji wa Raia Samia baada ya kufanya mambo kwa Vitendo. Siku chini ya 90 za Uongozi wake, tumenza kuona kwa macho ya nyama kazi zake au mwendelezo wa kazi za nyuma.

Hakika Watanzania sasa tunasonga mbele.

Hakuna aliyetekwa, hakuna aliyeuawa, hakuna aliyeshikiliwa, Wananchi wana Furaha na kazi inaendelea.

Tanzania tumebarikiwa na Mungu katupa upendeleo wa Viongozi.

View attachment 1813536View attachment 1813537
Kwa hiyo unaamini basi kama hili, lilitafitiwa, kuchorwa na kuundwa ktk kipindi cha miezi 6 iliyopita? Kwa nini usiwapongeze NIT badala ya Samia? Au unaamini yote ktk nchi hii yanaumbwa na muumba aitwaye Samia?
 
Tumechelewa Sana , serikali zetu hazipo serious, viwanda vingi ni assembly.Kuna mvumbuzi wa body bajaji kasumbuliwa Sana miongozo na TBS.
Wizara ya Kilimo ilikataa Power tiller za CAMRTEC ili waagize na kupata 10%.
 
Salaam Wakuu,

Nimeanza kukubali utendaji wa Raia Samia baada ya kufanya mambo kwa Vitendo. Siku chini ya 90 za Uongozi wake, tumenza kuona kwa macho ya nyama kazi zake au mwendelezo wa kazi za nyuma.

Hakika Watanzania sasa tunasonga mbele.

Hakuna aliyetekwa, hakuna aliyeuawa, hakuna aliyeshikiliwa, Wananchi wana Furaha na kazi inaendelea.

Tanzania tumebarikiwa na Mungu katupa upendeleo wa Viongozi.

View attachment 1813536View attachment 1813537
Huu unafiki utatuua Watanzania. Yaani ndani ya miezi michache hiyo sifa zinakwenda kwa Maza. Hivi unajua hilo basi limechua muda gani mpaka kufikia hapo?
 
hizi ukienda Moshi mbona kawaida tu,unaweza sema Yu Tong/Marcopolo imehamishiwa uchagani
Moshi ipi inaweza kuunda body ya bus kama hiyo au hizo Marcopolo unazosema? Moshi mahala pekee panaunda body za gari ni Rajinda Motors ambaye ni Argent wa TOYOTA naye ni kuongezea ukubwa wa hizi TOYOTA Landcruiser (Hardtop) kuwa Warbus kwaajili ya Tourist companies (Tours). Zaidi ya hapo ni garage za kawaida tu, na zingine ni zile za chini ya miti.
 
Mama Samiah ni zawadi toka kwa Mungu
HIVI KUNA MTU NI ZAWADI TOKA KWA SHETANI? NA MUNGU ANATUPENDA SAANA MAANA HATA KABLA YA JOGOO KUWIKA TULIAMBIWA NI ZAWADI TOKA KWA MUNGU, NA LEO TENA TUNAAMBIWA NI ZAWADI TOKA KWA HUYO HUYO. HIZI NI NYIMBO AU NGONJERA?
 
Assembled in Tanzania!

Nioneshe kiwanda cha hizo tairi, taa, vioo kisha uje na kwenye engine yani foundry plant, bolts n nuts, rims na chassis pamoja na ma diff kisha ndio uje na conclusion kwamba ni made in Tanzania!

Kama vyote vilivuka maji toka TPA na kuja hapo NIT basi naomba ubadili title ya uzi haraka.
 
Akili yako changamsha kidogo, kukusanya vitu vya watu na kuunganisha si ujanja wa kujisifia, sema % ngapi ya gari ilo itengenezwa tz kati ya engine, diff, chases, casing, pump, gia box, steering box, umeunda nini? Nje ya hapo kaa kimya, lipa tozo za miamala!
 
Salaam Wakuu,

Nimeanza kukubali utendaji wa Raia Samia baada ya kufanya mambo kwa Vitendo. Siku chini ya 90 za Uongozi wake, tumenza kuona kwa macho ya nyama kazi zake au mwendelezo wa kazi za nyuma.

Hakika Watanzania sasa tunasonga mbele.

Hakuna aliyetekwa, hakuna aliyeuawa, hakuna aliyeshikiliwa, Wananchi wana Furaha na kazi inaendelea.

Tanzania tumebarikiwa na Mungu katupa upendeleo wa Viongozi.

View attachment 1813536View attachment 1813537
Hongera sana Rais Samia
 
Salaam Wakuu,

Nimeanza kukubali utendaji wa Raia Samia baada ya kufanya mambo kwa Vitendo. Siku chini ya 90 za Uongozi wake, tumenza kuona kwa macho ya nyama kazi zake au mwendelezo wa kazi za nyuma.

Hakika Watanzania sasa tunasonga mbele.

Hakuna aliyetekwa, hakuna aliyeuawa, hakuna aliyeshikiliwa, Wananchi wana Furaha na kazi inaendelea.

Tanzania tumebarikiwa na Mungu katupa upendeleo wa Viongozi.

View attachment 1813536View attachment 1813537
Made in Tanzania or Assembled in Tanzania?
 
Back
Top Bottom