Nimekutana na Basi "Made in Tanzania", hongera Rais Samia Suluhu

Nimekutana na Basi "Made in Tanzania", hongera Rais Samia Suluhu

Wabongo bana 🤣🤣, yaan unaona nimekoment ambacho hakihusiani na mada au 🤣🤣🤣. Unaposema made in inamaanisha imetengenezwa in general nchi husika, na hapa kwetu hatuna uwezo wa ku made motor car's. That's why nikasema kilichofanyika ni assembling tuu
Nime Kiswahili cha Assembling lambda nitakuelewa, Maana mimi nimeandika kwa Kiswahili,
 
Sina ufahamu na uhalali wa hii habari ila kwa wale wanaong'ang'ana na assemble in TZ ni hivi Viwanda karibu vyote vya magari vina source ya kupata engine, gearbox, electrical equipment ndo wanaasemble magari. Kama hii ni mwendelezo wa uundaji magari nchini hongereni sana wahusika, hongera serikali. Hawa watu wawezeshwe.
Hii umeongea kweli maana ata Iphone za apple vioo vyao wanatengenezewa na samsung
 
Ungewapongeza watengenezaji kwani huenda Samia hata hajui hili. Kusifiana uongo zama zake zimepita.
Uko sahihi hii Project imeanza mwaka 2015 kwa kuanza kujenga Kiwanda. Niliwahi tembelea hapo wakati ndio kwanza anajenga msingi. Aliniambia alimpeleka Mtoto wake China kusomea jinsi ya kuweka urembo/Decoration ndani ya Bus
 
Salaam Wakuu,

Nimeanza kukubali utendaji wa Raia Samia baada ya kufanya mambo kwa Vitendo. Siku chini ya 90 za Uongozi wake, tumenza kuona kwa macho ya nyama kazi zake au mwendelezo wa kazi za nyuma.

Hakika Watanzania sasa tunasonga mbele.

Hakuna aliyetekwa, hakuna aliyeuawa, hakuna aliyeshikiliwa, Wananchi wana Furaha na kazi inaendelea.

Tanzania tumebarikiwa na Mungu katupa upendeleo wa Viongozi.

View attachment 1813536View attachment 1813537
Hebu taja hizio kazi! Wewe uko Tanzania au nchi gani. Hivi unaielewa wewe hali ya sasa hivi au unabwabwaja tu!
 
ni kazi ya jpm hii,mama hajuo lolote kuhusu hili.
Naona mnaendelea mapambio au kuanzisha ligi zilezile za mara ahsante Rais JPM au Rais Samia kuunda sijui mabasi, badala ya kusema labda kwa kiufupi tu, kupongeza watanzania au serikali kwa ujumla,si ingetosha tu jamani..sijui Rais moja kwa moja anaingiaje???...... yaani kazi kwelikweli.
 
Viwanda vyote vya magari duniani huwa ni assemblers tu. Wanasource vifaa mbalimbali vya magari kutoka kwa watengenezaji mbalimbali. Injini kutoka kwa huyu na suspension system kutoka kwa mwingine.
Hata ndege nao wako hivyohivyo naona huwa ni ngumu kila kitu kumaliza mwenyewe
 
Salaam Wakuu,

Nimeanza kukubali utendaji wa Raia Samia baada ya kufanya mambo kwa Vitendo. Siku chini ya 90 za Uongozi wake, tumenza kuona kwa macho ya nyama kazi zake au mwendelezo wa kazi za nyuma.

Hakika Watanzania sasa tunasonga mbele.

Hakuna aliyetekwa, hakuna aliyeuawa, hakuna aliyeshikiliwa, Wananchi wana Furaha na kazi inaendelea.

Tanzania tumebarikiwa na Mungu katupa upendeleo wa Viongozi.

View attachment 1813536View attachment 1813537
Sifa za kijinga hadi lini?
 
Viwanda vyote vya magari duniani huwa ni assemblers tu. Wanasource vifaa mbalimbali vya magari kutoka kwa watengenezaji mbalimbali. Injini kutoka kwa huyu na suspension system kutoka kwa mwingine.
Acha Uongo, umeangalia gari za Toyota and Land Rover? Kila kitu hutengeneza wenyewe kasoro matairi. Ndio maana spea zote zina lebo yao
 
Msiturudishe kule jamaaa..!! Kule ambako mchezaji anafunga gola uwanjani anasifiwa raisi. Furthermore, ni made in Tz au assembled in Tz?
This particular one is made in TZ in a sense that imported steel, glass, wires, engine etc. and Tanzanians designed and put together all the components to make a bus.
 
Mbona hizo Gari zilitengenezwa zamani Toka Magufuri yupo..Upendo nyagawa Ndio mtengenezaji kiwanda kipo kibaha pwani...Wewe vipi???¿??¿
 
Acha Uongo, umeangalia gari za Toyota and Land Rover? Kila kitu hutengeneza wenyewe kasoro matairi. Ndio maana spea zote zina lebo yao
Label haimfanyi kuwa ndiyo mtengenezaji mkuu. Nimeshuhudia kwa macho yangu nikiwa first year tulienda class tour kwenye kiwanda fulani wanatengeneza filters, spanners na makorokoro mengi tu ya magari. Hapo tulikuta wana order ya Scania ya kuwatengenezea wheel spanners na wanaweka label z scania, hilo lilinifanya kuuliza kwa nini iwe hivyo, wakasema ndivyo mkataba ulivyo.
 
Basi wayatengeneze mengi ili bei za nauli mikoani ziweze kupungua
 
Salaam Wakuu,

Nimeanza kukubali utendaji wa Raia Samia baada ya kufanya mambo kwa Vitendo. Siku chini ya 90 za Uongozi wake, tumenza kuona kwa macho ya nyama kazi zake au mwendelezo wa kazi za nyuma.

Hakika Watanzania sasa tunasonga mbele.

Hakuna aliyetekwa, hakuna aliyeuawa, hakuna aliyeshikiliwa, Wananchi wana Furaha na kazi inaendelea.

Tanzania tumebarikiwa na Mungu katupa upendeleo wa Viongozi.

View attachment 1813536View attachment 1813537
Assembled in TZ
 
Back
Top Bottom