Libertatem Pugnator
JF-Expert Member
- Aug 24, 2017
- 1,005
- 1,377
Thank youKampuni ya kuunda mabasi ya abiria yaanzishwa | East Africa Television
Kampuni ya BM Motors iliyopo eneo la Zegereni katika Halmashauri ya Mji wa Kibaha mkoani Pwani, imeingia kwenye orodha ya kampuni zinazounda na kutengeneza mabasi ya abiria nchini Tanzania.www.eatv.tv
Kwenye hii habari utaliona hilo bas likiwa bado halijakamilika