Embu nilime mimi hyo ban saiv,Nakupa Laki.Hapana, kama kuna members wanatumia avatar ya ban kama kitambulisho wanatukosea sana sisi mods, tutawalima maban ya miezi miwili miwili. Ila mimi nimelimwa ban la kiukweli mkuu
Laki si pesa mkuuEmbu nilime mimi hyo ban saiv,Nakupa Laki.
Unataka nifukuzwe kwenye ofisi ya jf kisa kulima member ban pasipo na kosa [emoji1787]Embu nilime mimi hyo ban saiv,Nakupa Laki.
Huyu mpuuzi wamemchoma ...banJukwaa la watoto....
Afadhani wamemchoma huyu mjinga.Nyuzi nyingine lazima ucheck profile yaani tayari washakupa na ban, aiseeπView attachment 2416496
Dah! We wacha tu, hawana dogo! Siku nikimaliza adhabu lazima niwaandikie uzi hawa wakina CONTROLANyuzi nyingine lazima ucheck profile yaani tayari washakupa na ban, aisee[emoji23]View attachment 2416496
Dah, halafu kosa sasa sina [emoji24][emoji24]Huyu mpuuzi wamemchoma ...ban
Hapana, huu uzi hauwezi kufutwa kivyovyote vileAfadhani wamemchoma huyu mjinga.
Huu uzi ufutwe tu
Fucc this shiet πππMods be like..
View attachment 2416417
Fucc this shiet πππ
Kijana una umri gani kwani?o
Nina umri mkubwa tu, watoto wawili na mke wangu Mwa J. Michepuko wa uhakika ni Fah na Fatuma. Mchepuko asiye rasmi ni Magh. Nina nyumba kubwa DSM, nafanya kazi kwenye duka la mwarabu. Namiliki duka la vipodozi. Nimemtongoza Mlatini. Wiki hii naweza kuleta uzi wakeKijana una umri gani kwani?