Nimekutana na binti maarufu wa jamiiforums asubuhi ya leo kwenye daladala

Nimekutana na binti maarufu wa jamiiforums asubuhi ya leo kwenye daladala

Embu nilime mimi hyo ban saiv,Nakupa Laki.
Unataka nifukuzwe kwenye ofisi ya jf kisa kulima member ban pasipo na kosa [emoji1787]

Kama unataka nikulime ban bure anzisha uzi wa kuwatukana mods wa jf akiwemo maxence melo, tukana matusi makubwa makubwa. Nikikuchelewesha uniite mbwa, niko hapa ofisini nimezungukwa na bonge la kiyoyozi
 
Nitaendelea kuleta mirejesho zaidi hususan pale nitakapofanikiwa kumtafuna huyu binti [emoji39]
 
Kijana una umri gani kwani?
Nina umri mkubwa tu, watoto wawili na mke wangu Mwa J. Michepuko wa uhakika ni Fah na Fatuma. Mchepuko asiye rasmi ni Magh. Nina nyumba kubwa DSM, nafanya kazi kwenye duka la mwarabu. Namiliki duka la vipodozi. Nimemtongoza Mlatini. Wiki hii naweza kuleta uzi wake

Kiukweli mimi ni mtu na heshima zangu kwa kweli i.e mtu mzima dawa
 
Back
Top Bottom