Nimekutana na ex wangu akiwa kachoka

Nimekutana na ex wangu akiwa kachoka

Mubby777

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2018
Posts
1,628
Reaction score
5,681
Kuna dem nilikuwa nae niweke rough tu hapa matumizi yake yalikuwaje
Kodi 350k
Mafuta gari 50(week)
Matumizi(chakula maana alikuwa hapend kupika 100k weeks)
Dinner za pamoja kwa wek zaid ya 200k
Nywele karibia 60k kila week
Kucha 15 kweek
Matimizi binafsi 50k week
Na mengine mengi
Halaf mpuuzi akanicheat na ex wake tena pale pale nilipompangia akafumwa na camera bila kujua
Nikamtimua na bags zake pekee maana navyompa havitoshi aende ex wake ampe

Kumuuliza why ananicheat et anadai amechoka kulala mwenyewe hivyo niache kulala kwangu na mke wangu nikalale nae wakat naanza nae anajua me ni mme wa mtu

Jana nimekutana nae Mliman city kachoka mpk anatia huruma

Muwe mna value basi mtu akiamua kuwekeza kwenu hata kama ni mme wa mtu eti

Nb: Sahiz napigana kusepa siwekezi kwa mtu mmoja tena [emoji119]
 
Kuna dem nilikuwa nae niweke rough tu hapa matumizi yake yalikuwaje
Kodi 350k
Mafuta gari 50(week)
Matumizi(chakula maana alikuwa hapend kupika 100k weeks)
Dinner za pamoja kwa wek zaid ya 200k
Nywele karibia 60k kila week
Kucha 15 kweek
Matimizi binafsi 50k week
Na mengine mengi
Halaf mpuuzi akanicheat na ex wake tena pale pale nilipompangia akafumwa na camera bila kujua
Nikamtimua na bags zake pekee maana navyompa havitoshi aende ex wake ampe

Jana nimekutana nae Mliman city kachoka mpk anatia huruma

Muwe mna value basi mtu akiamua kuwekeza kwenu hata kama ni mme wa mtu eti


Nb: Sahiz napigana kusepa siwekezi kwa mtu mmoja tena [emoji119]
Move on mkuu UNESHACHAPIWA no way out .

ILA NI BONGE LA DHARAU TENA KWENYE NYUMBA ULIYOMPANGISHIA 😂😂😂.
 
Hawa viumbe sijui kuna shida gani wako nayo,hii ishu imenitokea juzi,apa anapiga simu mpk namuonea huruma,na nimekuta tu text anabebishan na bwege mmoja iv,kila kitu anakipata but still hawaridhiki,kama hamtaki kua small house mtuambiage.
 
Tupe mrejesho: We na mkeo mliyamaliza? Ulimwambia ukweli? Mshafunga ndoa au bado mnaendelea kuzini?

Ni hayo tu boss wangu.
 
Hawa viumbe sijui kuna shida gani wako nayo,hii ishu imenitokea juzi,apa anapiga simu mpk namuonea huruma,na nimekuta tu text anabebishan na bwege mmoja iv,kila kitu anakipata but still hawaridhiki,kama hamtaki kua small house mtuambiage.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom