Nimekutana na ex wangu akiwa kachoka

Nimekutana na ex wangu akiwa kachoka

Rude boy - Reason with me

Part 2 coming soon

Rayvanny - Ex boyfriend


Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
 
Haiwezekani demu ukamgharamia hivi then akakucheat utskuwa unashida upande wako angalia vizuri
 
  • Thanks
Reactions: amu
Yaaani mleta ni bwege wa karne. Unamlipia kimada mipesa yoote wakati huku una mke kweli wewe u mpumbavu si ungempa mama yako au ungepeleka kwa watoto yatima. Unzizi haumuachagi mtu salama.
Kwanza mkeo hukufunga ndoa hivyo unazini nae.
Pili mchepuko tena unazini yaani wewe ni mjinga
 
Kama anajua ni mume wa mtu inawezekana sana tu
Mwanamke unamuhudumia zaidi ya 2m kwa mwezi akucheat tena kwenye nyumba uliyopangishia lazima akuona wewe ni poyoyo
 
  • Thanks
Reactions: amu
Hawa viumbe sijui kuna shida gani wako nayo,hii ishu imenitokea juzi,apa anapiga simu mpk namuonea huruma,na nimekuta tu text anabebishan na bwege mmoja iv,kila kitu anakipata but still hawaridhiki,kama hamtaki kua small house mtuambiage.
Mkuu hawa wadudu hawakutaki wewe ni pesa yako tu, mnaweza kupangwa watano kwa pamoja japo bado kuna wasichana wa maana, hao nawapa shikamoo
 
Back
Top Bottom