Nimekutana na ex wangu akiwa kachoka

Nimekutana na ex wangu akiwa kachoka

Mmmh wewe kaka hii pesa yote afu akakucheat? How old is she? Unagharamia hadi ile mikucha? Hivi hizi bahati kwa nini hazidondokagi kwangu?

Mimi hiyo hela ningekuwa huyo dada ningekuwa natunza kidogo, baadae niliyoilitunza nakwambia nina sh ngapi nakuomba uniongezee ninunue kiwanja, unaninunulia kiwanja, nakazia hapo hapo nahakikisha mimi nisiwe kikwazo cha kulete migororo kwa familiya yako.ukinijengea nyumba nakuzalia mtoto na maisha yanaendelea.

Hata hivyo hizi bahati ni chache sana, lazima tuendelee kuzisoma humu jf.
Mkuu wewe zama Instagram yake mubby777 mumalizane kiutu uzima he's rich to offer you.
 
Kwahiyo ulivyomkuta amechoka alikuomba msaada? mwache ayatafute maisha yake, so mpaka lini ulitaka abaki na wewe, ameona hakuna future kwako, wakat wewe upo na familia yako yeye amelala peke yake, wakat hana ulemavu wowote wala kasoro yeyote!! mwache ajifunze maisha ya kujipambania!! kwan wewe umekuwa SACCOS?? nyinyi wazee mmetuharibia sana wake zetu watarajiwa.
 
Ngoja tuone!!!!
350,000+50,000+100,000+200,000+60,000+15,000+50,000=
825,000kujumlisha mengine mengi…labda 175,000
JUMLA KUU =1,000,000. KWA WEEK
KWA MWEZI 4,000,000.
KWA MWAKA 48,000,000.
Bado matumizi ya familia na yako binafsi.
Hitimisho: NINYI NDO CHANZO CHA KODI HIZI
 
Kuna dem nilikuwa nae niweke rough tu hapa matumizi yake yalikuwaje
Kodi 350k
Mafuta gari 50(week)
Matumizi(chakula maana alikuwa hapend kupika 100k weeks)
Dinner za pamoja kwa wek zaid ya 200k
Nywele karibia 60k kila week
Kucha 15 kweek
Matimizi binafsi 50k week
Na mengine mengi
Halaf mpuuzi akanicheat na ex wake tena pale pale nilipompangia akafumwa na camera bila kujua
Nikamtimua na bags zake pekee maana navyompa havitoshi aende ex wake ampe

Kumuuliza why ananicheat et anadai amechoka kulala mwenyewe hivyo niache kulala kwangu na mke wangu nikalale nae wakat naanza nae anajua me ni mme wa mtu

Jana nimekutana nae Mliman city kachoka mpk anatia huruma

Muwe mna value basi mtu akiamua kuwekeza kwenu hata kama ni mme wa mtu eti

Nb: Sahiz napigana kusepa siwekezi kwa mtu mmoja tena [emoji119]
Sayonara
 
Ahsante.
Maana nilishaanza kuona nyota nyota.
Kwahawa wadada wa sikuizi wala sishangai maana tumeyashuhudia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. 60k nywele in every 2 weeks na 40k kucha in every 1 month.
 
Kuna dem nilikuwa nae niweke rough tu hapa matumizi yake yalikuwaje
Kodi 350k
Mafuta gari 50(week)
Matumizi(chakula maana alikuwa hapend kupika 100k weeks)
Dinner za pamoja kwa wek zaid ya 200k
Nywele karibia 60k kila week
Kucha 15 kweek
Matimizi binafsi 50k week
Na mengine mengi
Halaf mpuuzi akanicheat na ex wake tena pale pale nilipompangia akafumwa na camera bila kujua
Nikamtimua na bags zake pekee maana navyompa havitoshi aende ex wake ampe

Kumuuliza why ananicheat et anadai amechoka kulala mwenyewe hivyo niache kulala kwangu na mke wangu nikalale nae wakat naanza nae anajua me ni mme wa mtu

Jana nimekutana nae Mliman city kachoka mpk anatia huruma

Muwe mna value basi mtu akiamua kuwekeza kwenu hata kama ni mme wa mtu eti

Nb: Sahiz napigana kusepa siwekezi kwa mtu mmoja tena [emoji119]
Naam
 
Back
Top Bottom