Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yuko PM huko...
Acha apambane, msusi nipate deal.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yuko PM huko...
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Acha apambane, msusi nipate deal.
Nisione mi nani 😁[emoji1787][emoji1787][emoji1787] nawewe umeliona hilo?
Aaah!! Nadeal nae mwenyewe.[emoji2][emoji2][emoji2]
Au umwachie Mungu tu Ikiwezekana.
[emoji849][emoji849][emoji849]Kumbe anatuchosha tu hapa?Huyu msichana ni mjanja, amefuata ushauri wa huyu ndg, kuna uzi alishauri ukidate na mme wa mtu we kula pesa yake tu.
Wanawake jifunzeni kwa Mbunge Catherine
Wanawake naomba kabla sijaenda kwenye mada muelewe hili Kila mume wa mtu atakayekutongoza lazima atamkandia mkewe. Hana raha na ndoa Hana amani Mke anamnyima unyumba Mke mkorofi Mke anaongea sana Mke kachepuka na mengine mengi 99% ya wanaume wanapotongoza nje ya ndoa hizo ndio point...www.jamiiforums.com
This is jf mama[emoji16]Aaah!! Kumbe maujanja aliyatoa mwenyewe!! Sasa analia lia nini?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] jamaa anatupeleka chochi ili atupige roba ya mbao.Nisione mi nani [emoji16]
Amejianika kivipi wakati anatumia Fake idAwapi uongo tu huo tena usikute hata anaazima sim kwaajili ya kuchat jf, matajili huwa hawajianiki.
Sio huyu tajiri mubby777 ninayemjua toka instaAmejianika kivipi wakati anatumia Fake id
Jamani pole, pole sana huyo mwanamke hafai kabisa na aendelee kupauka hivo hivo.....
Anyway ulishapata mwingine lakini? Au bado Pole sana
porojo tu unatafta demu mtandaoni ww kwa mkeo penyewe kula shida kwani sikupati? kamalizie hilo boma kujengaKuna dem nilikuwa nae niweke rough tu hapa matumizi yake yalikuwaje
Kodi 350k
Mafuta gari 50(week)
Matumizi(chakula maana alikuwa hapend kupika 100k weeks)
Dinner za pamoja kwa wek zaid ya 200k
Nywele karibia 60k kila week
Kucha 15 kweek
Matimizi binafsi 50k week
Na mengine mengi
Halaf mpuuzi akanicheat na ex wake tena pale pale nilipompangia akafumwa na camera bila kujua
Nikamtimua na bags zake pekee maana navyompa havitoshi aende ex wake ampe
Kumuuliza why ananicheat et anadai amechoka kulala mwenyewe hivyo niache kulala kwangu na mke wangu nikalale nae wakat naanza nae anajua me ni mme wa mtu
Jana nimekutana nae Mliman city kachoka mpk anatia huruma
Muwe mna value basi mtu akiamua kuwekeza kwenu hata kama ni mme wa mtu eti
Nb: Sahiz napigana kusepa siwekezi kwa mtu mmoja tena [emoji119]