Nimekutana na ex wangu akiwa kachoka

Nimekutana na ex wangu akiwa kachoka

Kuna dem nilikuwa nae niweke rough tu hapa matumizi yake yalikuwaje
Kodi 350k
Mafuta gari 50(week)
Matumizi(chakula maana alikuwa hapend kupika 100k weeks)
Dinner za pamoja kwa wek zaid ya 200k
Nywele karibia 60k kila week
Kucha 15 kweek
Matimizi binafsi 50k week
Na mengine mengi
Halaf mpuuzi akanicheat na ex wake tena pale pale nilipompangia akafumwa na camera bila kujua
Nikamtimua na bags zake pekee maana navyompa havitoshi aende ex wake ampe


Kumuuliza why ananicheat et anadai amechoka kulala mwenyewe hivyo niache kulala kwangu na mke wangu nikalale nae wakat naanza nae anajua me ni mme wa mtu


Jana nimekutana nae Mliman city kachoka mpk anatia huruma

Muwe mna value basi mtu akiamua kuwekeza kwenu hata kama ni mme wa mtu eti


Nb: Sahiz napigana kusepa siwekezi kwa mtu mmoja tena [emoji119]
Ila mkuu huu uzi unakudhalilisha wewe mwenyewe tu...hivi hukujiona ni jinga fulani hivi zuzu linaloliwa pesa? Huyo mwanamke hizo bills alizokuwa anakupa amekuona wewe ni fala isitoshe ulikuwa humridhishi ndo maana akala pesa zako na jamaa yake wa ukweli. Wewe nenda katulie na mkeo huyo ndo wa maana lakini huna sifa za kuwa real man.
Real man hahongi pesa kizembe hivyo na ni ngumu kuachwa!!!
 
Ndio ndio.
Sio dada yangu ananyoa kama kuruta wa jeshi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hizo mbinu ukifanikiwa nipasie na mimi mdogo wangu...

Hili Para nianze kulivisha Brazillian.. Woiiiii
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hizo mbinu ukifanikiwa nipasie na mimi mdogo wangu...

Hili Para nianze kulivisha Brazillian.. Woiiiii
Nazijulia waapi, mi mwenyewe nimepaukiana tu. Yule shemeji yako mpare hivi yupo duniani kweli?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Umeamua kunisema namna hii kweli?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tena kunyoa kwenyewe ni buku tu tena mara moja baada ya miezi mitatu.
 
Nazijulia waapi, mi mwenyewe nimepaukiana tu. Yule shemeji yako mpare hivi yupo duniani kweli?
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]

Namuona tu huko Duniani anahangaika..

Siku hizi kabatizwa mara ya pili eti.. na jina kabadilisha.[emoji23][emoji23]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tena kunyoa kwenyewe ni buku tu tena mara moja baada ya miezi mitatu.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Huyu msichana ni mjanja, amefuata ushauri wa huyu ndg, kuna uzi alishauri ukidate na mme wa mtu we kula pesa yake tu.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Umeamua kunisema namna hii kweli?
Nazijulia waapi, mi mwenyewe nimepaukiana tu. Yule shemeji yako mpare hivi yupo duniani kweli?
Huyo dada naye anatusimulia huku kwamba amekutana na wewe ukiwa umechoka sana! Sasa sijui nani kachoka hapo kila mtu anamuona mwenzake kachoka[emoji14][emoji848]
 
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]

Namuona tu huko Duniani anahangaika..

Siku hizi kabatizwa mara ya pili eti.. na jina kabadilisha.[emoji23][emoji23]
Wacha bwana!! Anaitwa nani[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Huyu msichana ni mjanja, amefuata ushauri wa huyu ndg, kuna uzi alishauri ukidate na mme wa mtu we kula pesa yake tu.

Aaah!! Kumbe maujanja aliyatoa mwenyewe!! Sasa analia lia nini?
 
Back
Top Bottom