Nimekutana na ex wangu akiwa kachoka

Nimekutana na ex wangu akiwa kachoka

Naona umeamua kufanya uvuvi wa kitaalamu zaid[emoji2][emoji2],watakuja wenyewe pm wala huangaiki[emoji23]
 
Kuna dem nilikuwa nae niweke rough tu hapa matumizi yake yalikuwaje
Kodi 350k
Mafuta gari 50(week)
Matumizi(chakula maana alikuwa hapend kupika 100k weeks)
Dinner za pamoja kwa wek zaid ya 200k
Nywele karibia 60k kila week
Kucha 15 kweek
Matimizi binafsi 50k week
Na mengine mengi
Halaf mpuuzi akanicheat na ex wake tena pale pale nilipompangia akafumwa na camera bila kujua
Nikamtimua na bags zake pekee maana navyompa havitoshi aende ex wake ampe

Kumuuliza why ananicheat et anadai amechoka kulala mwenyewe hivyo niache kulala kwangu na mke wangu nikalale nae wakat naanza nae anajua me ni mme wa mtu

Jana nimekutana nae Mliman city kachoka mpk anatia huruma

Muwe mna value basi mtu akiamua kuwekeza kwenu hata kama ni mme wa mtu eti

Nb: Sahiz napigana kusepa siwekezi kwa mtu mmoja tena [emoji119]
Ndiyo ukome kujenga vibanda,unabutua mara mbili tatu unasepa,kunguru hafugiki bro.
 
Kuna dem nilikuwa nae niweke rough tu hapa matumizi yake yalikuwaje
Kodi 350k
Mafuta gari 50(week)
Matumizi(chakula maana alikuwa hapend kupika 100k weeks)
Dinner za pamoja kwa wek zaid ya 200k
Nywele karibia 60k kila week
Kucha 15 kweek
Matimizi binafsi 50k week
Na mengine mengi
Halaf mpuuzi akanicheat na ex wake tena pale pale nilipompangia akafumwa na camera bila kujua
Nikamtimua na bags zake pekee maana navyompa havitoshi aende ex wake ampe

Kumuuliza why ananicheat et anadai amechoka kulala mwenyewe hivyo niache kulala kwangu na mke wangu nikalale nae wakat naanza nae anajua me ni mme wa mtu

Jana nimekutana nae Mliman city kachoka mpk anatia huruma

Muwe mna value basi mtu akiamua kuwekeza kwenu hata kama ni mme wa mtu eti

Nb: Sahiz napigana kusepa siwekezi kwa mtu mmoja tena [emoji119]
Kwa hiyo umegundua staili ya muziki wakati tayari kuna kucha??.
 
Kwamba Kwa Mwezi ilikuwa unahonga Karibu 2.5m aisee usiwe unaota hivi Mjuba..... Kadanganye Vitoto Vya Facebook... Mtu mwenye Huo Uwezo wa Pesa huwezi kumkuta JF anaandika Upuuzi kama wako
Kuna dem nilikuwa nae niweke rough tu hapa matumizi yake yalikuwaje
Kodi 350k
Mafuta gari 50(week)
Matumizi(chakula maana alikuwa hapend kupika 100k weeks)
Dinner za pamoja kwa wek zaid ya 200k
Nywele karibia 60k kila week
Kucha 15 kweek
Matimizi binafsi 50k week
Na mengine mengi
Halaf mpuuzi akanicheat na ex wake tena pale pale nilipompangia akafumwa na camera bila kujua
Nikamtimua na bags zake pekee maana navyompa havitoshi aende ex wake ampe

Kumuuliza why ananicheat et anadai amechoka kulala mwenyewe hivyo niache kulala kwangu na mke wangu nikalale nae wakat naanza nae anajua me ni mme wa mtu

Jana nimekutana nae Mliman city kachoka mpk anatia huruma

Muwe mna value basi mtu akiamua kuwekeza kwenu hata kama ni mme wa mtu eti

Nb: Sahiz napigana kusepa siwekezi kwa mtu mmoja tena [emoji119]
 
Kuna dem nilikuwa nae niweke rough tu hapa matumizi yake yalikuwaje
Kodi 350k
Mafuta gari 50(week)
Matumizi(chakula maana alikuwa hapend kupika 100k weeks)
Dinner za pamoja kwa wek zaid ya 200k
Nywele karibia 60k kila week
Kucha 15 kweek
Matimizi binafsi 50k week
Na mengine mengi
Halaf mpuuzi akanicheat na ex wake tena pale pale nilipompangia akafumwa na camera bila kujua
Nikamtimua na bags zake pekee maana navyompa havitoshi aende ex wake ampe

Kumuuliza why ananicheat et anadai amechoka kulala mwenyewe hivyo niache kulala kwangu na mke wangu nikalale nae wakat naanza nae anajua me ni mme wa mtu

Jana nimekutana nae Mliman city kachoka mpk anatia huruma

Muwe mna value basi mtu akiamua kuwekeza kwenu hata kama ni mme wa mtu eti

Nb: Sahiz napigana kusepa siwekezi kwa mtu mmoja tena [emoji119]
Ulipata yule mdada aliyemaliza chuo/aliyemaliza kidato cha sita kukufundishia kijana wako?

Ndio shida ya hivyo vitoto vilitoka shule huwa vinasumbua sana. Hela yako kamekula na bado mbunye kameigawa na kijana wako sijui itakuwaje
 
Kuna dem nilikuwa nae niweke rough tu hapa matumizi yake yalikuwaje
Kodi 350k
Mafuta gari 50(week)
Matumizi(chakula maana alikuwa hapend kupika 100k weeks)
Dinner za pamoja kwa wek zaid ya 200k
Nywele karibia 60k kila week
Kucha 15 kweek
Matimizi binafsi 50k week
Na mengine mengi
Halaf mpuuzi akanicheat na ex wake tena pale pale nilipompangia akafumwa na camera bila kujua
Nikamtimua na bags zake pekee maana navyompa havitoshi aende ex wake ampe

Kumuuliza why ananicheat et anadai amechoka kulala mwenyewe hivyo niache kulala kwangu na mke wangu nikalale nae wakat naanza nae anajua me ni mme wa mtu

Jana nimekutana nae Mliman city kachoka mpk anatia huruma

Muwe mna value basi mtu akiamua kuwekeza kwenu hata kama ni mme wa mtu eti

Nb: Sahiz napigana kusepa siwekezi kwa mtu mmoja tena [emoji119]
Kwa hiyyo ulivyomkuta kachoka roho yako ikafurahiiiiii
 
Hawa viumbe sijui kuna shida gani wako nayo,hii ishu imenitokea juzi,apa anapiga simu mpk namuonea huruma,na nimekuta tu text anabebishan na bwege mmoja iv,kila kitu anakipata but still hawaridhiki,kama hamtaki kua small house mtuambiage.
Kwenye miti mingi hakunaga wajenzi
 
Kuna dem nilikuwa nae niweke rough tu hapa matumizi yake yalikuwaje
Kodi 350k
Mafuta gari 50(week)
Matumizi(chakula maana alikuwa hapend kupika 100k weeks)
Dinner za pamoja kwa wek zaid ya 200k
Nywele karibia 60k kila week
Kucha 15 kweek
Matimizi binafsi 50k week
Na mengine mengi
Halaf mpuuzi akanicheat na ex wake tena pale pale nilipompangia akafumwa na camera bila kujua
Nikamtimua na bags zake pekee maana navyompa havitoshi aende ex wake ampe

Kumuuliza why ananicheat et anadai amechoka kulala mwenyewe hivyo niache kulala kwangu na mke wangu nikalale nae wakat naanza nae anajua me ni mme wa mtu

Jana nimekutana nae Mliman city kachoka mpk anatia huruma

Muwe mna value basi mtu akiamua kuwekeza kwenu hata kama ni mme wa mtu eti

Nb: Sahiz napigana kusepa siwekezi kwa mtu mmoja tena [emoji119]
Mmmh wewe kaka hii pesa yote afu akakucheat? How old is she? Unagharamia hadi ile mikucha? Hivi hizi bahati kwa nini hazidondokagi kwangu?

Mimi hiyo hela ningekuwa huyo dada ningekuwa natunza kidogo, baadae niliyoilitunza nakwambia nina sh ngapi nakuomba uniongezee ninunue kiwanja, unaninunulia kiwanja, nakazia hapo hapo nahakikisha mimi nisiwe kikwazo cha kulete migororo kwa familiya yako.ukinijengea nyumba nakuzalia mtoto na maisha yanaendelea.

Hata hivyo hizi bahati ni chache sana, lazima tuendelee kuzisoma humu jf.
 
Back
Top Bottom