Shakara
Senior Member
- Aug 11, 2018
- 152
- 445
un peu...niaje?Oui. C'est la vie! Parlez-vous français?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
un peu...niaje?Oui. C'est la vie! Parlez-vous français?
Nyie wazuri hamjitokezi lkn hawa yeboyebo wamejaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hebu niache wewe, nampa moyo mubby asijali atapata mwingine, mbona wanawake tupo wengi tu, au nasema uongo [emoji23]
un peu...niaje?
Kwani yeye mwenyewe ni mubby777 basi pesa anayo mcheki life style lake Instagram huyo mubby777Kwa hiyo kila wiki alikuwa anatengeneza Nywele ya elfu 60 na kucha za 15?
Ulikuwa unamdate Celebrity Mkuu?
nitakupoteza...changu cha msimu...tegemeana na walionizunguka...[emoji1787]Nilifikiri unaweza ili nipate mtu wa kupiga naye mazoezi ili nisisahau...
Vraic'est la vie
[emoji1474][emoji1417][emoji1531]Vrai
Umegonga kwenye mshonoYaaani mleta ni bwege wa karne. Unamlipia kimada mipesa yoote wakati huku una mke kweli wewe u mpumbavu si ungempa mama yako au ungepeleka kwa watoto yatima. Unzizi haumuachagi mtu salama.
Kwanza mkeo hukufunga ndoa hivyo unazini nae.
Pili mchepuko tena unazini yaani wewe ni mjinga
Kumbe kuna watu matajiri sana hapaKuna dem nilikuwa nae niweke rough tu hapa matumizi yake yalikuwaje
Kodi 350k
Mafuta gari 50(week)
Matumizi(chakula maana alikuwa hapend kupika 100k weeks)
Dinner za pamoja kwa wek zaid ya 200k
Nywele karibia 60k kila week
Kucha 15 kweek
Matimizi binafsi 50k week
Na mengine mengi
Halaf mpuuzi akanicheat na ex wake tena pale pale nilipompangia akafumwa na camera bila kujua
Nikamtimua na bags zake pekee maana navyompa havitoshi aende ex wake ampe
Kumuuliza why ananicheat et anadai amechoka kulala mwenyewe hivyo niache kulala kwangu na mke wangu nikalale nae wakat naanza nae anajua me ni mme wa mtu
Jana nimekutana nae Mliman city kachoka mpk anatia huruma
Muwe mna value basi mtu akiamua kuwekeza kwenu hata kama ni mme wa mtu eti
Nb: Sahiz napigana kusepa siwekezi kwa mtu mmoja tena [emoji119]
vraiment désolé[emoji1474][emoji1417][emoji1531]
Bienun peu...niaje?
[emoji2374][emoji848]vraiment désolé
Vipi tena?[emoji23][emoji2374][emoji848]
Ohoo unajuaga wote ni kajamba nani?Kumbe kuna watu matajiri sana hapa
Sasa kama zipo kwanini asitoe mzee?! Kuna watu wengine hiyo 350k ni kama punje kwenye gunia la mchele heyPapuchi lake lilikulevya vibaya mno unatoa mihela yote hiyo kipumbavu hivyo,nyoka wee
[emoji23][emoji23][emoji23]...muhurumie mtoa made basi...Vipi tena?[emoji23]
Kama wewe ni mume wa mtu hapo wala hakucheat, ni haki yake.Haiwezekani demu ukamgharamia hivi then akakucheat utskuwa unashida upande wako angalia vizuri