Mkuu wewe zama Instagram yake mubby777 mumalizane kiutu uzima he's rich to offer you.Mmmh wewe kaka hii pesa yote afu akakucheat? How old is she? Unagharamia hadi ile mikucha? Hivi hizi bahati kwa nini hazidondokagi kwangu?
Mimi hiyo hela ningekuwa huyo dada ningekuwa natunza kidogo, baadae niliyoilitunza nakwambia nina sh ngapi nakuomba uniongezee ninunue kiwanja, unaninunulia kiwanja, nakazia hapo hapo nahakikisha mimi nisiwe kikwazo cha kulete migororo kwa familiya yako.ukinijengea nyumba nakuzalia mtoto na maisha yanaendelea.
Hata hivyo hizi bahati ni chache sana, lazima tuendelee kuzisoma humu jf.
Aah wap siko cheap nilie nae anatosha.Mkuu wewe zama Instagram yake mubby777 mumalizane kiutu uzima he's rich to offer you.
Aah wap siko cheap kiasi hicho.
elle est tellement stupide
SayonaraKuna dem nilikuwa nae niweke rough tu hapa matumizi yake yalikuwaje
Kodi 350k
Mafuta gari 50(week)
Matumizi(chakula maana alikuwa hapend kupika 100k weeks)
Dinner za pamoja kwa wek zaid ya 200k
Nywele karibia 60k kila week
Kucha 15 kweek
Matimizi binafsi 50k week
Na mengine mengi
Halaf mpuuzi akanicheat na ex wake tena pale pale nilipompangia akafumwa na camera bila kujua
Nikamtimua na bags zake pekee maana navyompa havitoshi aende ex wake ampe
Kumuuliza why ananicheat et anadai amechoka kulala mwenyewe hivyo niache kulala kwangu na mke wangu nikalale nae wakat naanza nae anajua me ni mme wa mtu
Jana nimekutana nae Mliman city kachoka mpk anatia huruma
Muwe mna value basi mtu akiamua kuwekeza kwenu hata kama ni mme wa mtu eti
Nb: Sahiz napigana kusepa siwekezi kwa mtu mmoja tena [emoji119]
Ahsante.Kwa hiyo kila wiki alikuwa anatengeneza Nywele ya elfu 60 na kucha za 15?
Ulikuwa unamdate Celebrity Mkuu?
Kwahawa wadada wa sikuizi wala sishangai maana tumeyashuhudia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. 60k nywele in every 2 weeks na 40k kucha in every 1 month.Ahsante.
Maana nilishaanza kuona nyota nyota.
Kweli that’s lifec'est la vie
mtoto mdogo sana njoo uthibitishe kama ni ya kweli hayaMkuu wewe zama Instagram yake mubby777 mumalizane kiutu uzima he's rich to offer you.
NaamKuna dem nilikuwa nae niweke rough tu hapa matumizi yake yalikuwaje
Kodi 350k
Mafuta gari 50(week)
Matumizi(chakula maana alikuwa hapend kupika 100k weeks)
Dinner za pamoja kwa wek zaid ya 200k
Nywele karibia 60k kila week
Kucha 15 kweek
Matimizi binafsi 50k week
Na mengine mengi
Halaf mpuuzi akanicheat na ex wake tena pale pale nilipompangia akafumwa na camera bila kujua
Nikamtimua na bags zake pekee maana navyompa havitoshi aende ex wake ampe
Kumuuliza why ananicheat et anadai amechoka kulala mwenyewe hivyo niache kulala kwangu na mke wangu nikalale nae wakat naanza nae anajua me ni mme wa mtu
Jana nimekutana nae Mliman city kachoka mpk anatia huruma
Muwe mna value basi mtu akiamua kuwekeza kwenu hata kama ni mme wa mtu eti
Nb: Sahiz napigana kusepa siwekezi kwa mtu mmoja tena [emoji119]