Nimekutana na laana ya dunia

Nimekutana na laana ya dunia

Itoshe tu kusema ndege wafananao huruka kwa pamoja nina wasiwasi ni mtoa mada
 
Kama bado umehifadhi hiyo namba yake na hizo texts zake. Ipo siku utamjibu, atakubembeleza na utampakua.

Cha kufanya we mblock tu.
 
Kuna siku mtu alikosea namba tukawa tunachati mwisho ikabidi tukutane kwa ajili ya sex mm akili yangu nikajua manzi asee nafika kwa guest nakuta mwanaume laini niliboeka sana nikavuta simu kwa jamaa akaleta wanaume 6 mbavu nene kiukweli walimlaaaaaa
 
Kuna siku mtu alikosea namba tukawa tunachati mwisho ikabidi tukutane kwa ajili ya sex mm akili yangu nikajua manzi asee nafika kwa guest nakuta mwanaume laini niliboeka sana nikavuta simu kwa jamaa akaleta wanaume 6 mbavu nene kiukweli walimlaaaaaa
Duuh noma sanaa...!!!
 
Kama bado umehifadhi hiyo namba yake na hizo texts zake. Ipo siku utamjibu, atakubembeleza na utampakua.

Cha kufanya we mblock tu.
Mkuu najua mimi ni binadamu sijakamilika na ninamadhambi yangu lakini sijafikia kuwaza kufanya ushetani kama huo, madem wamejaa mbaka wanamwagika unakamatatu na kupiga unavyotaka.
 
Huu kaka hauwezi kuisha upo na utaendelea kuwepo. Watu wengi hawajui tu hii tabia ya kufanya mapenzi na mwanamke afu una mfira uwe na hakika shida inaanzia hapo.

1 Wakorintho 6:9 - Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti,

Hapa naona sana anazungumziwa Anaefanya sio anaefanywa japo ana anaefanywa haimpi uhalali huo maana nae amegeuza matumizi.

Nataka kusema Wafirwaji hufanyiwa hivo sbb ya dhambi ya ama Babu zao au baba zao ama ukoo hakuna vya nje ya hapo. Hivo ombea ukoo wako uondokane na laana hiyo. Vijana wanafira wadada sa hivi wawe na hakika wajukuu zao ama watoto wao watafirwa ndo utaratibu. Dhambi ya Babu inafanya mjukuu anakuwa shoga ni kizazi hadi kizazi. Kama kujinyonga tu
 
Ilo limeshaku janga,mashoga ni wengi mpaka wengine ni waheshimiwa,tukianza kuwataja tutajaza huu ukurasa
 
Usikute huyo jamaa ni Mzanzibari ama Mtanga, Mwanaume wa Dar na Pwani. Hawa viumbe wana matatizo ya akili sana. Unakuta mtu anakimbia Zanzibar anakuja kujiuza huku Dar wakati kule Zenji kawadanganya wenzake kuwa anaenda kula Idi Arabuni wakati anapakatwa tu na kufinywa matako na wanaume wenzake.
Huyo mwanaume anayefinya matako ya mwenzake ni mjinga, mpumbavu laana kumu
Huu ujinga wanaume wanaotongozwa waukatae kama mtoa mada
Tuone wana fanya na nan sasa??
 
Daaaaah, nime mwomba Mungu ingiliekati utuokoe tena.

Nilikuwa nimetulia sehem nasubiri foleniipungue nielekee home mida ya saa 3 hivi usiku.
Akaja jamaa mmoja smart yuko poatu na begilake mgongoni.

Akawakama anapita pale nilipo, gafla akarudi pale nilipo mimi akanisalimia mambo vipi.
Tukapiga piga stori mbili tatu,siwezi kuelezea mengi yanachoshatu.

Mwisho wasiku akaomba nambayangu nikamtajia.

Sasa sikuhiyohiyo usiku linanitumia meseji eti linanipenda linataka nikalilawiti daaah.

Nikawa natafuta jibu lakumpa niligadhabika sana lakini nikashusha temper sikulitukana.

Daah sikuamini machoyangu ingawa msj za utangulizi nilitilia mashaka nikahisi kitu lakini sikuamini.

Maana aliniambia anataka aniambie kitu na labda naweza nisikipende nikamchukia na kumuona hafai kuwa rafikiyangu hapo nikashtuka nikawaza anataka kuniambia nini huyu jamaa.

Kilicho niumiza zaidi nimajibuyake baada ya kumuambia mimi sijawahi kufanya huoushetani,eti linaniambia sawa lakini hiyo ndiyo starehe yake.

Nikaliambia nalishawishi liache huo ushetani liwekatika hali ya kawaida linasema haliwezi, eti haliwezi!!!, f*-@k.

Sikulijibu chochote, nimetunza meseji zake siku ya 4 leo siamini machoyangu naona kama naota yani jamaa lilivyokuwa huwezi kuamini.

Tushirikiane kumwomba Mungu nduguzangu huu ushetani uishe,

Nilikuwa nasikia tu juujuu lakini nimejionea mwenyewe mbaka nikasema nimemkosea nini Mungu kunipa jaribu kama hili.

daah.
Pole sana, usiwe unagawa namba zako hovyo kwa wanaume wenzio
 
Mkuu najua mimi ni binadamu sijakamilika na ninamadhambi yangu lakini sijafikia kuwaza kufanya ushetani kama huo, madem wamejaa mbaka wanamwagika unakamatatu na kupiga unavyotaka.
Mblock tu mkuu, akikushawishi na vinono huyo utambatua we aya tu.
 
Inawezekana??.

Nilipata wazokama hilo, sababu nambayake ninayo na msj zake zipopia nashkuru kwa wazo hilo nadhani sheria zinaweza kuwa na kitu cha kufanya hapa.
Hao polisi unawaamin kiasi Gani? Unaweza kwenda kumshtaki kumbe una mtambulisha shoga Kwa shoga mwenzie. Wewe hapo futa huo uchafu wake na kumblock kabisa
 
Huu kaka hauwezi kuisha upo na utaendelea kuwepo. Watu wengi hawajui tu hii tabia ya kufanya mapenzi na mwanamke afu una mfira uwe na hakika shida inaanzia hapo.

1 Wakorintho 6:9 - Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti,

Hapa naona sana anazungumziwa Anaefanya sio anaefanywa japo ana anaefanywa haimpi uhalali huo maana nae amegeuza matumizi.

Nataka kusema Wafirwaji hufanyiwa hivo sbb ya dhambi ya ama Babu zao au baba zao ama ukoo hakuna vya nje ya hapo. Hivo ombea ukoo wako uondokane na laana hiyo. Vijana wanafira wadada sa hivi wawe na hakika wajukuu zao ama watoto wao watafirwa ndo utaratibu. Dhambi ya Babu inafanya mjukuu anakuwa shoga ni kizazi hadi kizazi. Kama kujinyonga tu
Huu hapa unao wazungumzia wote (wafiraji na wafirwaji)
Warumi 1:26-27
26 Kwa hiyo, Mungu aliwaachia wafuate tamaa zao za aibu. Hata wanawake wao waliacha matumizi ya asili ya maumbile yao wakatumia miili yao isivyokusudiwa. 27 Hali kadhalika wanaume waliacha matumizi ya mke, ya asili, wakawakiana tamaa. Wanaume wakiyatenda yasiyopasa, wakapata nafsini mwao malipo ya upotevu wao yaliyo haki yao.

Pia: mambo ya walawi 18:22
 
Huyo mwanaume anayefinya matako ya mwenzake ni mjinga, mpumbavu laana kumu
Huu ujinga wanaume wanaotongozwa waukatae kama mtoa mada
Tuone wana fanya na nan sasa??
Ni ujinga kwetu ila wapo wenzetu wanaoendekeza huu mchezo....bila kufinywa makalio anaona hana raha na kula anasusa kabisa. Si umesikia jana tu kuna njemba huko Tanga kamtia vidole mtoto wake wa kambo, tena mtoto wa miezi 11. Unafikiri huyu mtoto akikuwa atakuwa mtu wa namna gani kama si shoga? Watu wa Tanga na Zenji sijuwi wana akili gani kwa kweli.
 
Ni ujinga kwetu ila wapo wenzetu wanaoendekeza huu mchezo....bila kufinywa makalio anaona hana raha na kula anasusa kabisa. Si umesikia jana tu kuna njemba huko Tanga kamtia vidole mtoto wake wa kambo, tena mtoto wa miezi 11. Unafikiri huyu mtoto akikuwa atakuwa mtu wa namna gani kama si shoga? Watu wa Tanga na Zenji sijuwi wana akili gani kwa kweli.
Wanalaana ukiona hivo
Chunguza
Baba,babu,mama bibi yake alishawahi fanya huo mchezo
Hii laana mbaya sana inatafuna kizazi hadi kizaz
 
Back
Top Bottom