Nimekutana na mwanamke wa ajabu, naanza kuingiwa na hofu walimwengu nisaidieni

Nimekutana na mwanamke wa ajabu, naanza kuingiwa na hofu walimwengu nisaidieni

Hiyo profike yako ilivyo bado usifuatwe na hizo roho tu? Roho yako ilishatafuta hifadhi mapema sana kwa huyo kiumbe maana kwa mapenzi yako uliridhika kuweka picha inayoendana na tukio

Mkorintho wa 6
 
Bora hata wewe umestuka mapema, mm nimnywaji wa pombe yani story yako zinaendana somehow na yangu..mpaka usingizi umekatika..nilikua kila nikikaa nae jionj nikitoka kibaruani naona mauza uza ya kishenzi..siku alipotaka tukalale tukapiga kinywaji akasema muda umeenda twende kwangu ulale asubuhi uamke uende kazini..aiseee! Pombe ilikata..nikakurupuka nikawa naanza kuvaa nguo..ardhi ya mule chumbani ikawa ina cheza cheza..inshort nilipotaka taa izimwe alinyoosha mguu na mpaka switch ilipo ni parefu kwenye kale kagiza nilimuona akibadilika uso mara sura hii mara ile nikawasha taa..alinibadilikia..nikalazimisha kuondoka kwani nilifika mbali sasa? Kitu cha fisi wawili wananifuata..giza totoro..milio ya wanyama..hapo ni mikocheni b dsm..ukiwa kijana una kipato na una muonekano flani ni shida sana..mungu akutangulie brother, natamani tuonane ! Hapa nahema nikiwaza nilivoteseka, kazi nikapoteza na aliniapia wakati namkataa nilimwambia sikuelewi..yani dahh nakuonea huruma..af hua wana access na simu wanajua unawasiliana na nani..
Hapa Shigongo hajahusika kweli
 
Kuna vitu vinashahabiana...niombeeni kesho niwe vyema...niweze kuendelea. Nitakuwa chizi Sasa hv. Nina was was muda wote

Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana jamani...unaishi na nani ??kama unaishi peke yako jaribu kuishi na ndugu yako yeyote au mshikaji wako wowote,usikae mwenyewe and kikubwa na nguzo ni sala peke yake...kama unamwamini mungu hayo yote ni mapito tu..muombe sana mungu sali sana bila kuchoka,,,kila muda muite mungu hakika utakuja kuleta ushuhuda hapa...mungu hawezi kukuacha ukateseka...
 
Pole sana jamani...unaishi na nani ??kama unaishi peke yako jaribu kuishi na ndugu yako yeyote au mshikaji wako wowote,usikae mwenyewe and kikubwa na nguzo ni sala peke yake...kama unamwamini mungu hayo yote ni mapito tu..muombe sana mungu sali sana bila kuchoka,,,kila muda muite mungu hakika utakuja kuleta ushuhuda hapa...mungu hawezi kukuacha ukateseka...
Thanks Mkuu...nimekuelewa, nitafanya hvy

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom