Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,342
- 88,625
Babu niache mfyuuuu.Kutamani ni kutongoza? Kiswahili ulipata nini O level?
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Babu niache mfyuuuu.Kutamani ni kutongoza? Kiswahili ulipata nini O level?
Utaendeleaje wakati zimwi litakuwa na wewe muda wote? Au limeacha kukutumia msg wakati unaandika?
Ngoja nilielekeze zimwi maeneo ya Goba. Labda ndo tutaheshimiana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] likuye likuye. Kwanza ya kiume yanatoaga utajiriNgoja nilielekeze zimwi maeneo ya Goba. Labda ndo tutaheshimiana
Nakuletea la kike likusage[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] likuye likuye. Kwanza ya kiume yanatoaga utajiri
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo nachokitaka. Linakusaga mpk kinaniliu kinaota sugu ya kumwaga maji. Unakuwa hela huna na wanaume huwataki. Gadeim!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Roho mbaya hiyo babu. Unataka mjukuu nikale wapi?Ndo nachokitaka. Linakusaga mpk kinaniliu kinaota sugu ya kumwaga maji. Unakuwa hela huna na wanaume huwataki. Gadeim!
Ndio unitake radhi sasa.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Roho mbaya hiyo babu. Unataka mjukuu nikale wapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekusamehe. Haidhuru, Zimwi lenyewe nitakuwa mimi mwenyewe. Hapo vipi?
Acha kumsingizia Mungu kwenye mambo ya kishetaniDuh ya Mungu mengi
Kwani Mkuu yote ya Dunia Mungu si anayaweza?Acha kumsingizia Mungu kwenye mambo ya kishetani
Ni kweli. Lakini sio huo upuuzi. Mungu yuko bize na mambo yenye akiliKwani Mkuu yote ya Dunia Mungu si anayaweza?