Kumbe nawe machale yamekucheza eeeh!!
Yaani kama kajisema vile[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
For sure, na anajua kuwachota kweli akili.
Ule wa kusema kakutana na wadada nao ulikuwa utunzi tuu. Kapata kiki kageuza sifa.Ule uzi ilikuwa lazima awapate watu maana tunapenda umbea humu ndani acha kabisa haswa wanaume wa jf
[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
Haki umbea ungekuwa viwanda watz tungekuwa mbali sana.
Na uandishi ndio ule ule.
Kama ndivyo basi watu wana malengo ya muda mrefu sana. Wengine tupo tupo tu.
Mkuu, huku kuna wanaume wana chamba hata Mwajuma nchokonoe akasome....tehteehh [emoji12] [emoji12]Hamna mtu anaweza shindana maneno na mtoto wa kike na akashinda.[emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji1][emoji126][emoji126][emoji126]
Nimekoma .
Sent using Jamii Forums mobile app
Na uandishi ndio ule ule.
Mie shamshtukiaga mapeeeema hata huwa sijishughulishi tena.Ule wa kusema kakutana na wadada nao ulikuwa utunzi tuu. Kapata kiki kageuza sifa.
Anajitengenezea story mwenyewe anajiumbua mwenyewe.[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Sent using Jamii Forums mobile app
Weeeeh kuna wanaume wana haiba za kike haki huwezi shindana nae maneno my dear. Yaani utabaki umeduwaa hauamini majicho yako.Hamna mtu anaweza shindana maneno na mtoto wa kike na akashinda.[emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji1][emoji126][emoji126][emoji126]
Nimekoma .
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu, huku kuna wanaume wana chamba hata Mwajuma nchokonoe asome....tehteehh [emoji12] [emoji12]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Mimi nilishangaa na story zake zile za kijinga apate wanawake gani wa kumshobokea kiasi hicho. Nikajisemea tuu " wanawake tuna huruma jamani kama hadi huyu juha wamemwelewa"[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]Mie shamshtukiaga mapeeeema hata huwa sijishughulishi tena.
Ila anajuag akuwachota vichwa maji acha kabisa.
Hapo bado hajanichangia na I'd zake zote[emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126]Mkuu, huku kuna wanaume wana chamba hata Mwajuma nchokonoe asome....tehteehh [emoji12] [emoji12]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Yaan badala aende kwenye maombi akaanza kukimbizana na matapeli na aliweka wazi ni mkristo anamwamini mungu, gafla pesa zimekwisha kabla hata mwezi haujaisha anaomba msaadaDereva wa baba yangu alifanyiwa maombi mwaka Mzima kila kona unayoijua wewe, mwisho wa siku kaaga dunia. Alikuwa dereva kwa miaka 8 lakini alikuwa kama ndugu kwakweli, nikirudi kwako mkuu. Duka unalo kwanini usimuweke ndugu yako dukani? Halafu ukalifanyia maombi hilo duka lako pia. Mtu chake kwanini usiuze hio gari yako na kukusaidia kwa sasa, huoni aibu kuomba? Unasema watu wamekutapeli kwa kuona matatizo yako fursa ya kufanya utapeli. Kwanini na sisi tusihisi kama umetumia stori yako kuja kututapeli?
Ndukiiiii πββοΈπββοΈπββοΈ
Wakuu tujipige pige huyu mwenzetu apate msaada wa chakula na maji kwaajili ya timu ya maombi.
Najitolea katoni za maji, mwenye unga, mchele na mafuta pia si vibaya tukimsaidia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Anapenda sana kudhalilisha wanawake, sijui the story behind it, ila something is wrong somewhere trust me.
Mimi nilishangaa na story zake zile za kijinga apate wanawake gani wa kumshobokea kiasi hicho. Nikajisemea tuu " wanawake tuna huruma jamani kama hadi huyu juha wamemwelewa"[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi nilishangaa na story zake zile za kijinga apate wanawake gani wa kumshobokea kiasi hicho. Nikajisemea tuu " wanawake tuna huruma jamani kama hadi huyu juha wamemwelewa"[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787]Naona unajitekenya kwa id nyingine.