Nimekutana na mwanamke wa ajabu, naanza kuingiwa na hofu walimwengu nisaidieni

Nimekutana na mwanamke wa ajabu, naanza kuingiwa na hofu walimwengu nisaidieni

Ule uzi ilikuwa lazima awapate watu maana tunapenda umbea humu ndani acha kabisa haswa wanaume wa jf
[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
Haki umbea ungekuwa viwanda watz tungekuwa mbali sana.
Ule wa kusema kakutana na wadada nao ulikuwa utunzi tuu. Kapata kiki kageuza sifa.
Anajitengenezea story mwenyewe anajiumbua mwenyewe.[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hamna mtu anaweza shindana maneno na mtoto wa kike na akashinda.[emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji1][emoji126][emoji126][emoji126]
Nimekoma .

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, huku kuna wanaume wana chamba hata Mwajuma nchokonoe akasome....tehteehh [emoji12] [emoji12]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Ule wa kusema kakutana na wadada nao ulikuwa utunzi tuu. Kapata kiki kageuza sifa.
Anajitengenezea story mwenyewe anajiumbua mwenyewe.[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]

Sent using Jamii Forums mobile app
Mie shamshtukiaga mapeeeema hata huwa sijishughulishi tena.
Ila anajuag akuwachota vichwa maji acha kabisa.
 
Mkuu, huku kuna wanaume wana chamba hata Mwajuma nchokonoe asome....tehteehh [emoji12] [emoji12]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]
Hakika.
 
Mie shamshtukiaga mapeeeema hata huwa sijishughulishi tena.
Ila anajuag akuwachota vichwa maji acha kabisa.
Mimi nilishangaa na story zake zile za kijinga apate wanawake gani wa kumshobokea kiasi hicho. Nikajisemea tuu " wanawake tuna huruma jamani kama hadi huyu juha wamemwelewa"[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dereva wa baba yangu alifanyiwa maombi mwaka Mzima kila kona unayoijua wewe, mwisho wa siku kaaga dunia. Alikuwa dereva kwa miaka 8 lakini alikuwa kama ndugu kwakweli, nikirudi kwako mkuu. Duka unalo kwanini usimuweke ndugu yako dukani? Halafu ukalifanyia maombi hilo duka lako pia. Mtu chake kwanini usiuze hio gari yako na kukusaidia kwa sasa, huoni aibu kuomba? Unasema watu wamekutapeli kwa kuona matatizo yako fursa ya kufanya utapeli. Kwanini na sisi tusihisi kama umetumia stori yako kuja kututapeli?


Ndukiiiii 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
Yaan badala aende kwenye maombi akaanza kukimbizana na matapeli na aliweka wazi ni mkristo anamwamini mungu, gafla pesa zimekwisha kabla hata mwezi haujaisha anaomba msaada
 
Mimi nilishangaa na story zake zile za kijinga apate wanawake gani wa kumshobokea kiasi hicho. Nikajisemea tuu " wanawake tuna huruma jamani kama hadi huyu juha wamemwelewa"[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kama ulivyosema, wanawake tuna huruma sana. Huwezi jua.
 
Back
Top Bottom