Weeeeh kuna wanaume wana haiba za kike haki huwezi shindana nae maneno my dear. Yaani utabaki umeduwaa hauamini majicho yako.
Mtu anaye zalilisha wanawake hajiamini so kuzalilisha wanawake ndo kujifariji aisee ma real gentlemen hawako hivoAnapenda sana kudhalilisha wanawake, sijui the story behind it, ila something is wrong somewhere trust me.
Au twende tukaungane nae huko kwenye maombi..atuambie ni wapiYaani story umeanza jumatano Leo jumapili unasema maombi yamefanya usife kwa ushauri wa WanaJf . halafu hutaki kutaja ulipopata msaada wengine wenye shida na Wao wapone mmhhh hapa kuna kupigwa.
[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kama ulivyosema, wanawake tuna huruma sana. Huwezi jua.
Misimo.....[emoji23] [emoji23] [emoji23]Hapo bado hajanichangia na I'd zake zote[emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126]
Sent using Jamii Forums mobile app
Me ntaendelea hapo chiniDereva wa baba yangu alifanyiwa maombi mwaka Mzima kila kona unayoijua wewe, mwisho wa siku kaaga dunia. Alikuwa dereva kwa miaka 8 lakini alikuwa kama ndugu kwakweli, nikirudi kwako mkuu. Duka unalo kwanini usimuweke ndugu yako dukani? Halafu ukalifanyia maombi hilo duka lako pia. Mtu chake kwanini usiuze hio gari yako na kukusaidia kwa sasa, huoni aibu kuomba? Unasema watu wamekutapeli kwa kuona matatizo yako fursa ya kufanya utapeli. Kwanini na sisi tusihisi kama umetumia stori yako kuja kututapeli?
Ndukiiiii [emoji125]ββοΈ[emoji125]ββοΈ[emoji125]ββοΈ
Kwakweli..........
[emoji1787][emoji1787]
Mimi hata sikutaka kukomenti. Tuliishia kusimangwa wiki nzima kwa story zake feki
Sent using Jamii Forums mobile app
Nitaja jificha nyuma yako [emoji13]Misimo.....[emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Labda ukuje tujifiche wote kule PM...[emoji39] [emoji39] [emoji39]
Kajipangeni upya πππππππKwani umelazimishwa kumsaidia? Au wewe ndio huyo jini nini
[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]na wewe utajificha kwani.Labda ukuje tujifiche wote kule PM...[emoji39] [emoji39] [emoji39]
Ukifika uniombeeMi Akisema ilipo hyo kambi ya maombi naenda kumpelekea hapo hapo...ye aseme tuu
Sent using Jamii Forums mobile app