Nimekutana na mwanamke wa ajabu, naanza kuingiwa na hofu walimwengu nisaidieni

Me ntaendelea hapo chini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji1787][emoji1787]

Jama lina ID 4, watu tunaosoma kwa makini tulishagundua mapema mno kwamba mwisho wa stori ni ombi la fweza au tangazo la kumsifu kalumanzila. Yani jini akupe laki tatu mara kibao juzi tu alafu leo ulie njaa [emoji23][emoji23][emoji23]

Ningekuwa nakufahau ningekufata na pira nikutie lokapu kwa kucheza na hisia za watu
 
Kama huyo jini yupo humu, ebu naomba akuje PM...[emoji39] [emoji39]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…