Nimekutana na mwanamke wa ajabu, naanza kuingiwa na hofu walimwengu nisaidieni

Mbona we mwepesi sana

Unataka kutokwa na machozi kwa kitu cha kitoto hichi

Rubbish

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah munzisha uzi alianzisha uzi wa sehemu ya nne peke yake nikaufunua kwa furaha,ile kufungua naletwa huku eti ule uzi umeunganishwa huku.Nimeutafuta huku nimeshindwa kuupata.

Msaada wa comment # yenye SEHEMU ya nne
 
Sehemu ya nne umeweka?
 
Mm Nipo Tayar kumchangia hela Nzuri tu ila shart aniwekeee HAPA conservations zake na huyo jini ikiwezekana na picha kabisa mana utapel umezid Humu Jf. Weka screenshots hapa Pumbafuuuuuuu
Sehemu ya nne ipo wapi?
 
Mm Nipo Tayar kumchangia hela Nzuri tu ila shart aniwekeee HAPA conservations zake na huyo jini ikiwezekana na picha kabisa mana utapel umezid Humu Jf. Weka screenshots hapa Pumbafuuuuuuu
ha ha ha ha ha
 
Haya mauza mauza, ni kweli kabisa..! Mimi ilinitokea 2007 nikiwa chuo mwaka wa 3,kama sio msaada wa karsmatiki katoliki pale Emaus, basi leo ningekuwa mfu au kitu kingine cha jab kabisa..! Pole sana brother. Pambana na maombi, usijaribu kwenda kwa mganga, hao wananguvu kuliko waganga, ila tu wachawi ndio kiboko yao..!
 
mtoa mada ningependaa uweke namba ya simu ya uyoo binti anaekusumbua pamoja na picha ya sms mlizokuwa mnachat.. usiseme kiapo ulichopewa kinakuzuia usigawe namba na kuscreenshot sms....🙂
 
Uoga ndio ukakufanya wewe kupeana pesa kwa matapeli. Nakuombea uongezeke imani, baada ya haya yote, utakiri Yesu Kristo ni jemedari mkuu, Jina zaidi ya majina yote, nguvu zaidi ya nguvu zote.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…