Nimekutana na mwanamke wa ajabu, naanza kuingiwa na hofu walimwengu nisaidieni

Pole na hongera kwa maswahibu, bila shaka hilo ni jini lishakupenda kikubwa zidi kuomba Mungu kwa imani yako, usithubutu kwenda kwa waganga utazidi jiharibia au likuue kabisa...
% zote sahihi ndugu
 
Chai imeisha? Mbona wageni tumekaa tu bila kupewa updates zozote? Au jini kaisha fanya yake !


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Nilikuwa natesti zari tu. Huwezi jua mipango ya shetani kiongozi wangu


Hahahaha babu kweli bado mkuyati una kusaidia. ... ila huo mzigo sio wa kitoto sidhani kama utaweza kuuendesha. Inabidii uwe umeshiba haswa.
 
Hahahaha babu kweli bado mkuyati una kusaidia. ... ila huo mzigo sio wa kitoto sidhani kama utaweza kuuendesha. Inabidii uwe umeshiba haswa.
Usisahau ng'ombe hazeeki maini.
 
Daah pole sana mkubwa wangu jambo usilo lijua sikuzote nilazima likutatize ila kabla hujafikilia mbali sana hadi ukawaza kuwa kilicho tokea ni mkosi au Nuksi ......Waza hili kwanza "Wewe ni mfanya biashara na ukweli unafahamika na watu wengi sana kuliko unao wafahamu wewe huyo binti huenda akawa anakufahamu vizuri kuliko unavyo fikili kwakua ukiwa unapenda au kuitaji kitu ambacho kinaitaji mbinu kukipata nilazima utakifuatilia sana ili pengine ujue mazaifu yake au mapungufu ...............Mtazamo wangu huwenda binti anajalibu kutafuta namna ya kufanya uwe nae.!!!!!
 
Umewaza kwa kina sana mkuu hongeraa

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Schizophrenia is characterised by thoughts or experiences that seem out of touch with reality, disorganised speech or behaviour and decreased participation in daily activities. Difficulty with concentration and memory may also be present.
Treatment is usually lifelong and often involves a combination of medications, psychotherapy and coordinated speciality care services.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…