Superb2014
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 9,266
- 7,426
Muombe Mungu atakuepusha na jaribu ulilo nalo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa yupo katikati ya bahari
aiseh kumbe tupo wengi #acha movie liendeleeMkuu endelea basi popcorn zinaishaa
Hii comment ilinifanya nijute kuusoma huu uzi saa nane usikuUkiangalia dirishani utamuona amesimama anakuangalia kwa utulivu
Wewe umewaza mbali kabla ya kuambiwa yaliyojiri.Daah pole sana mkubwa wangu jambo usilo lijua sikuzote nilazima likutatize ila kabla hujafikilia mbali sana hadi ukawaza kuwa kilicho tokea ni mkosi au Nuksi ......Waza hili kwanza "Wewe ni mfanya biashara na ukweli unafahamika na watu wengi sana kuliko unao wafahamu wewe huyo binti huenda akawa anakufahamu vizuri kuliko unavyo fikili kwakua ukiwa unapenda au kuitaji kitu ambacho kinaitaji mbinu kukipata nilazima utakifuatilia sana ili pengine ujue mazaifu yake au mapungufu ...............Mtazamo wangu huwenda binti anajalibu kutafuta namna ya kufanya uwe nae.!!!!!
Natamani kuona unaleta huo Uzi hapa. PoleSerious dude, why should i lie? After all sijawahi post thread za chai humu ..tazama mtiririko wa nyuzi zangu bob! Hiyo kitu imentokea almost three years ago, 2016!
Anatukata stimu wenzie aiseeeaiseh kumbe tupo wengi #acha movie liendelee